100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,985
Sahihi sana mkuu.Hayo mambo yanatugharimu kama Taifa, na Hawa Viongozi mbaya zaidi kwenye Mali na Madeni yao kupitia Viapo vyao kwenye time ya maadili ya Viongozi wa Umma huwa hawazitaji hizo Mali zao.
Ukishakuwa na Viongozi Wafanyabiashara hakuna unafuu unapatikana Kwa Wananchi, maana wao muda wote wanawaza kutuibia tu 🙌
