Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hayo mambo yanatugharimu kama Taifa, na Hawa Viongozi mbaya zaidi kwenye Mali na Madeni yao kupitia Viapo vyao kwenye time ya maadili ya Viongozi wa Umma huwa hawazitaji hizo Mali zao.

Ukishakuwa na Viongozi Wafanyabiashara hakuna unafuu unapatikana Kwa Wananchi, maana wao muda wote wanawaza kutuibia tu 🙌
Sahihi sana mkuu.
 
Sahihi sana mkuu.
Kabisa Mkuu, na bahati mbaya system inawalea ndiyo maana wameendelea kuwapachika watoto zao kwenye uongozi kuanzia Chamani hadi Serikalini...

Ukiwa sio sehemu ya circle yao, hata uwe na masters na PhD za kutosha still hutapewa nafasi ya kuleta mabadiriko Chanya 🙌
 
Chapaun
IMG_20240506_140734.jpg
 
Back
Top Bottom