Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kweli lakini Kuna kazi ukifanya ngwengwe hutaipata kwa upeku hata kwa kuchoma na kitu chenye ncha Kali kwa lazima .
PEP vimekuwq vidonge vyetu ,waheshimiwa wizara ya afya na wizara ya ulinzi najua mnaelewa naongea Nini tafadhali msaada wa vifaa ni muhimu mno na sisi tuna familia na pia tuna wapenzi wanatupenda Ila njaa na uzalendo vimetuweka kwenye hizo shughuli .
Kazi zipi Mkuu ambazo ukifanya ngono peku hupati HIV/AIDS?

Kuepekua maambuzi ni kutokuwa na Wapenzi wengi/kutokufanya ngono zembe n.k
 
Nougaaa sanaa Ajattttt unajistiri hadi rahaaaaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯😍😍😍😍😍😍😍😍!

Hakika asubuhi yangu inaenda kuwa bareeeeeda kabesaaa

Santo sana
πŸ˜ƒπŸ˜ƒAsante sana madam
 
Babu nimejichanganya namaanisha kupata ngwengwe muda mwingine sio kufanya peku Ila Kuna kazi n risk tu kwakuzifanya kupata ngoma n kugusa
Hapo nakubali Mkuu

Kuna kazi ukifanya kuanzia asubuhi hadi jioni unakutana na wateja asilimia 75 Wanawake plus Vitoto vya Chuo chuchu saa 7 😜

Hizo ndiyo risks maana hata kama utakuwa domo Zege utajikuta unakula tu kimasihara πŸ™Œ
 
Thubutu wazee wasiku hizi wa ovyo 🀣🀣🀣
Imagine km vijana wasahiz ndo wazee wa badae πŸ˜‚πŸ˜‚
Bora sisi tumezeeka kabisa maana hata yule Jogoo aliyewika mara tatu enzi za Petro wakati anamkana Yesu, kwetu sisi anawika mara moja baada ya miezi 12 πŸ˜œπŸ™Œ
 
Back
Top Bottom