Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 63,746
- 159,908
Weeeee sitaki mwili wako mieee niupeleke wapiiiiiii !Nataka uselfikeee! Jana ulikua ushaweka vitu kichwani ukatubless leo umeanza mbambambaa acha hizoooUnataka mwili wangu kabisa π
Weeeee sitaki mwili wako mieee niupeleke wapiiiiiii !Nataka uselfikeee! Jana ulikua ushaweka vitu kichwani ukatubless leo umeanza mbambambaa acha hizoooUnataka mwili wangu kabisa π
Waleykum SalamMadam samalekooo!!π
Naomba uibless asubuhi yangu jamaneee kitambo sana nimemiss lipppppssssss nono na tramuuuu! π
Ewaaaaaaaaa mambo si ndo hayaa niko hapa standby sio raraa reree mswahili swahili tu maneno mengii πWaleykum Salam
Tulia hapohapo
Nougaaa sanaa Ajattttt unajistiri hadi rahaaaaaaπ₯π₯π₯π₯ππππππππ!
TuliaπππNakufahamu π
Kazi zipi Mkuu ambazo ukifanya ngono peku hupati HIV/AIDS?Ni kweli lakini Kuna kazi ukifanya ngwengwe hutaipata kwa upeku hata kwa kuchoma na kitu chenye ncha Kali kwa lazima .
PEP vimekuwq vidonge vyetu ,waheshimiwa wizara ya afya na wizara ya ulinzi najua mnaelewa naongea Nini tafadhali msaada wa vifaa ni muhimu mno na sisi tuna familia na pia tuna wapenzi wanatupenda Ila njaa na uzalendo vimetuweka kwenye hizo shughuli .
ππAsante sana madamNougaaa sanaa Ajattttt unajistiri hadi rahaaaaaaπ₯π₯π₯π₯ππππππππ!
Hakika asubuhi yangu inaenda kuwa bareeeeeda kabesaaa
Santo sana
Natulia. Nitakushangaza π€£Tuliaπππ
Washauri wa afyaKazi zipi Mkuu ambazo ukifanya ngono peku hupati HIV/AIDS?
Kupekua maambuzi ni kutokuwa na Wapenzi wengi/kutokufanya ngono zembe n.k
Ukipita home njoo ule ugali ππNatulia. Nitakushangaza π€£
π€£π€£π€£π€£Ukipita home njoo ule ugali ππ
Wazee lazima tuwe washauriWashauri wa afya
Babu nimejichanganya namaanisha kupata ngwengwe muda mwingine sio kufanya peku Ila Kuna kazi n risk tu kwakuzifanya kupata ngoma n kugusaKazi zipi Mkuu ambazo ukifanya ngono peku hupati HIV/AIDS?
Kupekua maambuzi ni kutokuwa na Wapenzi wengi/kutokufanya ngono zembe n.k
πππ€£π€£π€£π€£
Thubutu wazee wasiku hizi wa ovyo π€£π€£π€£Wazee lazima tuwe washauri
Maana wengine hayo mambo tulimaliza Mwaka 47 π
Hapo nakubali MkuuBabu nimejichanganya namaanisha kupata ngwengwe muda mwingine sio kufanya peku Ila Kuna kazi n risk tu kwakuzifanya kupata ngoma n kugusa
Bora sisi tumezeeka kabisa maana hata yule Jogoo aliyewika mara tatu enzi za Petro wakati anamkana Yesu, kwetu sisi anawika mara moja baada ya miezi 12 ππThubutu wazee wasiku hizi wa ovyo π€£π€£π€£
Imagine km vijana wasahiz ndo wazee wa badae ππ