Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nasema uongo 😁😁😁🀠???
Kweli kabisa watumie walivyonavyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila wasisahau
Siku ya mwisho ikilia parapanda zitajibandika usoni zote alizowah kula zikibaki watawekewa kwenye gunia l wasisahau,
sis wanawake zitaning'inia mwilini 🀣🀣zikibaki tutawekewa kwenye kirova tuburute πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijasemea humu babu si umesema huko kwa job full misosiiiiiii tena vitrotro vibichiii chuchu kweee ndio nakwambia vikija nyie pigeni tu huo ndio uanaume mwanaume hakuna kukaaa kizombie hata smart huwa namwambiagaa wakimlengeshea asiniangushe!

Ila hata kama ni humuu acha watu wapeane mautramu buanaaa!
Hahaha..........eti vipigwe tu 😜

Bahati mbaya nimestaafu zamani, hata hivyo kazi yangu haikuwa inaruhusu kukutana na Wanawake

Siku hizi Vijana wanafaidi tu, hasa wale wa mahospitali/Vyuo/Benki n.k πŸ€—πŸ™Œ
 
Kweli kabisa watumie walivyonavyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila wasisahau
Siku ya mwisho ikilia parapanda zitajibandika usoni zote alizowah kula zikibaki watawekewa kwenye gunia l wasisahau,
sis wanawake zitaning'inia mwilini 🀣🀣zikibaki tutawekewa kwenye kirova tuburute πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hio Siku kila mmoja atapambana na furushi zakeee banaaa tukijipeleka watufumueee tu🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀭!

Hatari sana
 
Kweli kabisa watumie walivyonavyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila wasisahau
Siku ya mwisho ikilia parapanda zitajibandika usoni zote alizowah kula zikibaki watawekewa kwenye gunia l wasisahau,
sis wanawake zitaning'inia mwilini 🀣🀣zikibaki tutawekewa kwenye kirova tuburute πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahahaha..................mbona hiyo hatari

Tutakaopona ni sisi Wazee tu maana hatuna mambo mengi πŸ€—
 
Hio Siku kila mmoja atapambana na furushi zakeee banaaa tukijipeleka watufumueee tu🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀭!

Hatari sana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tujichagulie kabisa package zikibakia
Kama ni kindoo
Au kiroba au jaba 🀣🀣🀣
 
Hahaha..........eti vipigwe tu 😜

Bahati mbaya nimestaafu zamani, hata hivyo kazi yangu haikuwa inaruhusu kukutana na Wanawake

Siku hizi Vijana wanafaidi tu, hasa wale wa mahospitali/Vyuo/Benki n.k πŸ€—πŸ™Œ
Sasa je nyie sanueni kwakwenda mbeleeee !

Weeeeeeeeeee tena weee ndio unaonekana simba mwenda pole wewe hata kwa Maandishi tu unaonekana ni zaidi ya hatari!
 
Sasa je nyie sanueni kwakwenda mbeleeee !

Weeeeeeeeeee tena weee ndio unaonekana simba mwenda pole wewe hata kwa Maandishi tu unaonekana ni zaidi ya hatari!
Hahahaha..............wengine umri umetutupa Mkono Mjukuu πŸ€—

After all it's worthy nothing having many sexual partners

Tangu Mwaka 47 tuliachagua kubakia njia KUU
 
Hahahaha..............wengine umri umetutupa Mkono Mjukuu πŸ€—

After all it's worthy nothing having many sexual partners

Tangu Mwaka 47 tuliachagua kubakia njia KUU
Kabisa infidelity Ni hatari sana kiukweli! Japo kwa wanaume ni nature yenu tofauti nasie wanawake!


Of course njia kuu ni salama only if nae kakitulizaaa !
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hawa ndo wale wa kuweka kwenye mapipa
🀠🀠🀠🀠🀠🀠😁!
Hayaa kila mmoja abebe mafurushi yake mtu unashindwa kujigawa staki mi πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜!
 
Back
Top Bottom