MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 8,462
- 22,641
Ni kweli lakini Kuna kazi ukifanya ngwengwe hutaipata kwa upeku hata kwa kuchoma na kitu chenye ncha Kali kwa lazima .Hahaha.........pole Mkuu
Ninyi kama Vijana mnatakiwa kuongeza umakini, msikubali kucheza peku unless huyo mtu mmepima naye mara kadhaa pamoja
Taifa bado linawahitaji Kwa maendeleo 💪
PEP vimekuwq vidonge vyetu ,waheshimiwa wizara ya afya na wizara ya ulinzi najua mnaelewa naongea Nini tafadhali msaada wa vifaa ni muhimu mno na sisi tuna familia na pia tuna wapenzi wanatupenda Ila njaa na uzalendo vimetuweka kwenye hizo shughuli .