Selfika na JF: Snap it. Show it

🎢🎢🎢 embe parachichi
Ndo utamu wa penzilako
Na kwangu hauachiki .
Wataniua sitoki kwako ❀️

Nishakuvisha taji
Bingwa wa kaziyako unaipatia😘
Na napokosa wew ndo jaji
Nifunge hata maisha nitakutumikia

Mambo pekeji pekeji ,Twajisosomola
penzi si lakienyeji
viwango vya Dola
wanaotuma vimeseji,mnataka kunipora
ananionyesha bby jueni nawachora
ooh ooh
et nikikuona aah
naona Raha mbona🎢
 
Hahaha.........pole Mkuu

Ninyi kama Vijana mnatakiwa kuongeza umakini, msikubali kucheza peku unless huyo mtu mmepima naye mara kadhaa pamoja

Taifa bado linawahitaji Kwa maendeleo πŸ’ͺ
Ni kweli lakini Kuna kazi ukifanya ngwengwe hutaipata kwa upeku hata kwa kuchoma na kitu chenye ncha Kali kwa lazima .
PEP vimekuwq vidonge vyetu ,waheshimiwa wizara ya afya na wizara ya ulinzi najua mnaelewa naongea Nini tafadhali msaada wa vifaa ni muhimu mno na sisi tuna familia na pia tuna wapenzi wanatupenda Ila njaa na uzalendo vimetuweka kwenye hizo shughuli .
 
Happy mothers day my mom πŸ˜˜πŸŒΉπŸ’œπŸ’–.

Mungu aendelee kukutunguza kipenzi asante kwa ukarimu wako na upendo wako

Uendelee kuwatunza wadogo zangu vizuri πŸ˜€β˜ΊοΈπŸ€—πŸ€—πŸ€—

I love you mummy πŸ˜™πŸ˜™πŸ˜™
images (4) (2).jpeg
 
Back
Top Bottom