Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,059
- 61,320
Angefanya kujiongeza Kwa kupata Leseni za CAF ingesaidia sana.Kabisa mkuu tuna imani na Mgunda, sema nasikia hatambuliki na CAF hana Leseni kwahiyo tukienda kimataifa, lazima tutafute Kocha mwingine wa kimataifa ambaye obviously ndio atakuwa mkuu
Naelewa sana mbinu zake, useme changamoto tuliyonayo mtu akishapata ajira huwa hana wazo la kujiendeleza