mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,725
- 73,567
mungu anisaidie nisinenepe hivi aisee
mungu anisaidie nisinenepe hivi aisee
Hahahahaha...siku hz itakua kweliKila siku unasema hivo hivo
Weeeeeeeee pop that booty pop that 🔥🔥🔥🔥🔥
Nitaanza mazoezi mwezi wa 7Fanya mazoezi rafiki, kunywa maji ya uvugu vugu asubui.
Naona miguu Ina zidiwa uzito.
Umenitukana mchana kweupeeeemungu anisaidie nisinenepe hivi aisee
😍😍😍😍Weeeeeeeee pop that booty pop that 🔥🔥🔥🔥🔥
Mwaga UNO bibie 😄Umenitukana mchana kweupeeee
😍😍😍😍
Screenshot hiyo, najua sio yakoUmenitukana mchana kweupeee
Wewe ni mtu mzuri sana! Hata haunichekiMwaga UNO bibie 😄
Unaniudhii! Ukija Dar usinishirikishe nishakuona haunikubali jinsi nilivyoScreenshot hiyo, najua sio yako
Na ulivyo kababyface nisisikie baada ya mwezi wa 7 mtu analeta nye nye nyeee mimi nilishakupendea hivyo hivyo 😊😚Wewe ni mtu mzuri sana! Hata haunicheki
Mwezi wa 7 naanza mazoezi nitakutumia picha jinsi nitakavyopungua
☺️Ishapita hiyoNa ulivyo kababyface nisisikie baada ya mwezi wa 7 mtu analeta nye nye nyeee mimi nilishakupendea hivyo hivyo 😊😚
Mercedes Benz C classAtayepatia hi ni ndinga gani ana 10k ya vocha.View attachment 2984746
🤣🤣🤣🤣Siku hizi unajiachia balaa...unanifurahisha sanaHahahahaha..mtamu tena jamani Rafiki..we si utakua mtamu zaidi kupita
Kwanza nijue ni yako au ya mwana 😁?Atayepatia hi ni ndinga gani ana 10k ya vocha.View attachment 2984746
Dogo uko vizuri.Mercedes Benz C class
Kati ya 300 sport au 4dr sedan
Mrembooooooo🥰🥰🥰😁
Unanipanga wwHahahahaha...siku hz itakua kweli
Napenda sana 🥬 Jo, ila sasa nimehamia sehemu ambayo siwezi kuendeleza ka-system kangu ka zamani.Hivi Kwa Nini Huwa Huli mboga Daktari?
Oooh pole sana,kama ni hivyo kweli tatizo.....jitahidi upate hata matundaNapenda sana 🥬 Jo, ila sasa nimehamia sehemu ambayo siwezi kuendeleza ka-system kangu ka zamani.
Nilikuwaga nikienda sokoni kuna mmama ananisafishia vyakutosha alafu ananikatia za kukata na za kuchambua anachambua, nakua na mboga za kula wiki nzima. Sasa hivi nimehamia sehemu nyingine, sokoni mbali panatia uvivu kwenda, na siku nikienda napata tabu kuchagua pakununua maana sijawazoea.😵😵
Ila namiss sana.😔View attachment 2984764View attachment 2984765