Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,854
- 82,007
karibu zanzibarNikichukua Likizo, nitakuja unitembeze hayo maeneo yako boss, yatasaidia kuongeza utulivu wa kichwa kwa sisi Wazee 😜
karibu zanzibarNikichukua Likizo, nitakuja unitembeze hayo maeneo yako boss, yatasaidia kuongeza utulivu wa kichwa kwa sisi Wazee 😜
Shukrani Mkuu, will be therekaribu zanzibar
[emoji91][emoji91]Acha tujipongeze walau kwa ushindi wa leo japo nafasi ya pili bado hatuna uhakika nayoView attachment 2986180
One for the road 🥂Acha tujipongeze walau kwa ushindi wa leo japo nafasi ya pili bado hatuna uhakika nayoView attachment 2986180
Mambo vipi Rafiki? Furahi Day ndio imeanza ,selfie inafuataTresor Mandala rafiki, selfika basi
Si kweliOne for the road 🥂
Hii Simba yetu angeachiwaga Mgunda moja Kwa Moja ingepiga hatua
Boli linatembea na ushindi unapatikana 💪
Oooh nasubiri Kapicha japo kabirianiMambo vipi Rafiki? Furahi Day ndio imeanza ,selfie inafuata
Hahahahaha..kabiriani ndio nataka ni waambie waniwekee odaOooh nasubiri Kapicha japo kabiriani
Sawa....Leo kaselfieHahahahaha..kabiriani ndio nataka ni waambie waniwekee oda
Hahahahaha unajua ku selfie sio tatizo, tatizo ku share hiy selfie humu ndio kipengeleSawa....Leo kaselfie
Humu Kuna shida Gani🤣🤣?Hahahahaha unajua ku selfie sio tatizo, tatizo ku share hiy selfie humu ndio kipengele
Hahahahaha hakuna shida , RafikiHumu Kuna shida Gani🤣🤣?
Unaogopa wajuaji😁😁😁Hahahahaha hakuna shida , Rafiki
Hahahahaha..hamna ila mie ni mdau wa ku like kwa wale wa selfikaUnaogopa wajuaji😁😁😁
Sawa kabisa.....Leo niandalie like yanguHahahahaha..hamna ila mie ni mdau wa ku like kwa wale wa selfika
Kabisa mkuu tuna imani na Mgunda, sema nasikia hatambuliki na CAF hana Leseni kwahiyo tukienda kimataifa, lazima tutafute Kocha mwingine wa kimataifa ambaye obviously ndio atakuwa mkuuOne for the road 🥂
Hii Simba yetu angeachiwaga Mgunda moja Kwa Moja ingepiga hatua
Boli linatembea na ushindi unapatikana 💪