Hahahahaha..ujue nyie mashabiki wa mpira huwa mnavuruga mambo ..leo unamuona mgunda kocha mzuri ni vile anasimamia mechi ambazo hazina presha sana...ila wkt ukifika mtamuona hana vigezo na hafai , kwani ni mara ya kwanza mashabiki mnasema hivi ? Mgunda ndio aliyeivusha simba kwenda makundi lkn baada ya hapo mkaja kusema kuwa mgunda hana uwezo wa kuipeleka simba robo wala nusu fainali ya cafcl..akaletwa robertinho ...kisha akaletwa benchina ... baada ya wote hao kufeli karudishwa mgunda..mnaibuka tena kusema anafaa...aaagh...naona kama hamjitambui vile