Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimewahi kupita kwenye hayo mabanda ya CCM mara mbili hivi kupata yale mambo yetu

Sijui wanatumia viungo gani kuchanganya, maana inakuwa laini kufanya hadi Wazee tuweze kutafuna hadi mifupa [emoji847]
Babuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
 
Babuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Hujambo Mjukuu?🤗

Kwa wiki mbili sasa Bibi yako amekuwa akikuulizia, fanya uje kumtembelea ukipata likizo na Mkwe wetu 🤗

Ulisema hujala magimbi una muda mrefu, nimeona amekuandalia mengi hadi ushindwe 😜
 
Muambie nashukuru nitakuja weekend. Unaendeleaje?

Mimi sijambo shkamoo babu 😸😸
We are doing real good here, japo nahisi Ulimi unaniwasha Kwa kumisi kuvuta Kiko yangu 🤗😜

Kama utakuja weekend hii nitamwambia Bibi yako akuandalie Wali wa Mchele mpya pamoja na yule Jogoo tuliyekupa zawadi Siku ya Kipaimara chako Mwaka ule 😅
 
Halla 💚💚
 

Attachments

  • IMG_20240429_180317_663.jpg
    IMG_20240429_180317_663.jpg
    2 MB · Views: 8
  • IMG_20240429_180520_767.jpg
    IMG_20240429_180520_767.jpg
    2.1 MB · Views: 9
  • IMG_20240429_180720_520.jpg
    IMG_20240429_180720_520.jpg
    2.6 MB · Views: 7
  • IMG_20240429_180455_421.jpg
    IMG_20240429_180455_421.jpg
    1.9 MB · Views: 11
Back
Top Bottom