Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,682
- 208,857
Hawafanyi delivery?Lina laana hili jiji
Mimi kuna mzigo wangu nafuata mjini niondoke zangu
Kasheshe kufika huko posta..
Sijui nizungukie Toangoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sitaki njia yenye maji kabisa
Uwezo wa kuvuka maji nimejitwika mizigo siwezi.
Hao watu si wampe boda?
Heri uingie gharama ila uzima uwepo.