Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,993
- 11,859
Unajua Kuna tofauti kubwa sana ya chai na breakfast 😂 chai pale buku 5 usiogopeSi ndio hiyo serena hapo kwa nyuma mukubwa 😁😁🤣 naskia chai ni afu sabini
Unajua Kuna tofauti kubwa sana ya chai na breakfast 😂 chai pale buku 5 usiogopeSi ndio hiyo serena hapo kwa nyuma mukubwa 😁😁🤣 naskia chai ni afu sabini
Kabisa.. sahihi sana.Daah laana ya kumchafua na kumchukia huyu mzee itatutafuna sana watanzania
Kumbe ngoja niende kujaribuUnajua Kuna tofauti kubwa sana ya chai na breakfast 😂 chai pale buku 5 usiogope
Hahahahaha..sawa umeiweka vzr .Acha kukariri Kilimanjaro Kwa Sasa inaitwa Hyatt Regency. Kempiski walitimka kitambo sana TZ
Hahahahaha mie ndio kwanza nina wiki dar hapa mkuu tena nimekuja kufanya interview then narudi Chato..so usipanic sanaaa..kwa hili wewe MSHINDIBasi we utakuwa ni wakuja ambae hujui kuwa Hyatt inaitwa Kilimanjaro😂😂 muwe mbapitaoita hata nje Kwa mbali unasoma bango
Umenoga sana, habari za masiku white...
Hahahahahaha..huyu hajawahi kuharibu yuko vzr sanaUmenoga sana, habari za masiku white...
Sitaki kuamini Mjukuu 😜Wengine tuna vitambi na tunakula mlenda kila siku😂
Ni DDC ya pale Mwenge.....Wazee lazima tufanyie vikao jirani na wasomi wa Mlimani/Tumaini/Ustawi n.k ili tukikwama tupate msaada wa Mabinti zetu wa chuoni 🤗Hahahahaha kikao saa ngapi mkuu ..halafu DDC ipi sasa..kuna kariakoo ,kuna Magomeni, kuna Keko na ile ya Mwenge ..kikao kiko DDC ipi mzee mwenzangu,namalizia misa nije
Nipo posta hapo mkuuuHiki kimvua ..ni poa sana
Unaelimishwa kijana hakuna anaeshindana na wewe 😂Hahahahaha mie ndio kwanza nina wiki dar hapa mkuu tena nimekuja kufanya interview then narudi Chato..so usipanic sanaaa..kwa hili wewe MSHINDI
Hahahahaha..sawa mkuu...merci..haina haja ya kulumbana mie nimuelewa sana na vile dar mgeni basi napenda sana kuelimishwa we nielimishe tu hakuna tatizoUnaelimishwa kijana hakuna anaeshindana na wewe 😂
Sogea hapa maeneo ya Holiday InnNipo posta hapo mkuuu
Hahahahaha..we mzee mie nakuja hapo waambie wanichomee mbuzi nusu ..mama ako mdg yuko ardhi anakuja hapo mpokee ila usianze mambo yenu yale🤣🤣🤣 maana wazee wa mujini mko janja janja sanaNi DDC ya pale Mwenge.....Wazee lazima tufanyie vikao jirani na wasomi wa Mlimani/Tumaini/Ustawi n.k ili tukikwama tupate msaada wa Mabinti zetu wa chuoni 🤗
Nishasepa kaka nimedandia boti la Azam hapaSogea hapa maeneo ya Holiday Inn
Hahahahaha..dah ..itakuaje sasa..maana mpk boti imekufuata Mwenge itakua ishu kubwa sana 😅Nishasepa kaka nimedandia boti la Azam hapa
Hahahahaha..we mzee mie nakuja hapo waambie wanichomee mbuzi nusu ..mama ako mdg yuko ardhi anakuja hapo mpokee ila usianze mambo yenu yale🤣🤣🤣 maana wazee wa mujini mko janja janja sana
Labda kama alikuwa along Posta, lakini Boti kufika Mwenge ni future impossible tense 😅🙌Hahahahaha..dah ..itakuaje sasa..maana mpk boti imekufuata Mwenge itakua ishu kubwa sana 😅