Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahahaha kikao saa ngapi mkuu ..halafu DDC ipi sasa..kuna kariakoo ,kuna Magomeni, kuna Keko na ile ya Mwenge ..kikao kiko DDC ipi mzee mwenzangu,namalizia misa nije
Ni DDC ya pale Mwenge.....Wazee lazima tufanyie vikao jirani na wasomi wa Mlimani/Tumaini/Ustawi n.k ili tukikwama tupate msaada wa Mabinti zetu wa chuoni 🤗
 
Ni DDC ya pale Mwenge.....Wazee lazima tufanyie vikao jirani na wasomi wa Mlimani/Tumaini/Ustawi n.k ili tukikwama tupate msaada wa Mabinti zetu wa chuoni 🤗
Hahahahaha..we mzee mie nakuja hapo waambie wanichomee mbuzi nusu ..mama ako mdg yuko ardhi anakuja hapo mpokee ila usianze mambo yenu yale🤣🤣🤣 maana wazee wa mujini mko janja janja sana
 
Hahahahaha..we mzee mie nakuja hapo waambie wanichomee mbuzi nusu ..mama ako mdg yuko ardhi anakuja hapo mpokee ila usianze mambo yenu yale🤣🤣🤣 maana wazee wa mujini mko janja janja sana

Karibu Mkuu utatukuta Wazee wenzako.....

Alafu Sema Mjukuu bhana, huyo binti lazima atakuwa analingana umri na Mjukuu wangu wa 2003 😜
 
Back
Top Bottom