Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Uliniambia utanitafutaWe dada
Keki yangu vipi
Naona kimya, siwezi nikapika bila kuambiwa kwanza.
Uliniambia utanitafutaWe dada
Keki yangu vipi
Ni nani huyo the real devil?Yani bado mpaka tutubu mkuu, siku watanzania wakimjua the real devil tutakuwa tushachelewa sana, kwa sasa wacha tuendelee kujifariji
Hahahahaha
Shangazi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥View attachment 2937508Tumsifu yesu kristo, Bwana yesu asifiwe,nawasalimu shangazi yenu.
Tumuone mpiga picha pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!Man U 🔥🔥🔥🔥
View attachment 2937529
Mambo yake tumuachie mwenyewee 😉😄Tumuone mpiga picha pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Embu tupia basi mamiiiii nishushie hizi chupa 😉In Smart911 voice hahahaha
Umetishaaaa
Mi Sina hata jipya mr likes.Embu tupia basi mamiiiii nishushie hizi chupa 😉
Unazingua 😁Mi Sina hata jipya mr likes.
Wee mwenyewe kugeuza Kamera umedinda za wenzio unataka uone mfyuuu!Unazingua 😁
Nimedinda 😄 kama umeona vileWee mwenyewe kugeuza Kamera umedinda za wenzio unataka uone mfyuuu!
Mkuu punguza kunisagia kunguni Mzee mwenzenu....😅Mimi naomba utolewe kabisa,wewe sio mwenzetu. DDC Mlimani Park....orchestra ni band.
Kumbi ni DDC KARIAKOO,DDC MAGOMENI KONDOA etc
KumbeUliniambia utanitafuta
Naona kimya, siwezi nikapika bila kuambiwa kwanza.
Mkuu umechelewa kikao, ila Wazee wote Kwa kauli Moja wamepitisha Jina langu kuendelea kutumikia nafasi ya Mzee mashuhuri.Hahahahaha..Mkuu huyo binti tuozeshe tu sasa maana hkn jinsi tena..
Mko DDC ipi niko njiani
Unajua tena umri huu, sio rahisi kufanya mambo kama wafanyavyo Vijana.Hahahahaha..Mzee mwenzangu huwezi siku hz kuna ile wanaita AI
😂😂😂😂Dah... Tumefika kizimkazi bhana😃😃😃😂🔥kabla ya kuiwaza Ibiza, nenda kwanza nungwi.."
#Narudia hii ndio posta CC Selikavu hapa mwanetu chinga hajawahi kufika 😂🤣😁😁 Cc Tresor Mandala tungekutana Leo kaka
View attachment 2937631