Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,422
Hahahahaha...eti eehHizi pigo za kugombania ukubwa zipo kwa watu ambao si wakubwa
Wakubwa hawagombanii ukubwa 😂
Hahahahaha...eti eehHizi pigo za kugombania ukubwa zipo kwa watu ambao si wakubwa
Wakubwa hawagombanii ukubwa 😂
Chat chat hii, nothing serious.Yaani kumbe hadi wababa huwa mnqng'ang'aniana ukubwa😂
Hivi Rafiki pale ujiji bado tupo ? Nipite kusalimia
Hahahahaha..Mkuu ndio yale tunayosemaga watoto wengi..chit chat anachukulia serious..dah hii nchi hiiChat chat hii, nothing serious.
Hahaha......unakuta ghafla kafriji kameota 🙌Jokofu linaota tumboni au sio
Mimi kama kijana wa zamani nakutoa rasmi kwenye kundi la wazee🤣🤣ERoni na Tresor Mandala acheni kunisagia kunguni Mzee mwenzenu....mnataka nitengwe kwenye vikao vya Wazee 😜
Wazee wengine tuna miili ya mazoezi kama ya Mzee Rukhsa🤗
Leo Wazee tuna kikao chetu Ukumbi wa DDC Mlimani park, nadhani vyema uhudhurie msikie utetezi wangu 😜Mimi kama kijana wa zamani nakutoa rasmi kwenye kundi la wazee🤣🤣
🤣🤣🤣zile picha zako za '71 zimefutwa rasmi, kikao cha leo kinakuvua uanachama na kutangaza kukurudisha ujanani!Leo Wazee tuna kikao chetu Ukumbi wa DDC Mlimani park, nadhani vyema uhudhurie msikie utetezi wangu 😜
Mimi bado ni Mzee mwenzenu tena niliyekula chumvi nyingi 🤗
Wacha kunifanyia roho mbaya Mzee mwenzangu.....Unajua Uchaguzi unakaribia unataka nipoteze nafasi ya kukutana na Rais wakati akiongea na Watanzania kupitia sisi Wazee wa DSM?🤣🤣🤣zile picha zako za '71 zimefutwa rasmi, kikao cha leo kinakuvua uanachama na kutangaza kukurudisha ujanani!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha kunifanyia roho mbaya Mzee mwenzangu.....Unajua Uchaguzi unakaribia unataka nipoteze nafasi ya kukutana na Rais wakati akiongea na Watanzania kupitia sisi Wazee wa DSM?
Nataka kukumbushia na like ombi letu la kuongezwa Pension pamoja na matibabu bure Kwa Wazee 🤗
Hahahahaha..najua mzee mwenzangu..ile ilikua chit chat ..watoto waone pia wakubwa huwa tuna chit chat kdg .ERoni na Tresor Mandala acheni kunisagia kunguni Mzee mwenzenu....mnataka nitengwe kwenye vikao vya Wazee 😜
Wazee wengine tuna miili ya mazoezi kama ya Mzee Rukhsa🤗
Hahahahaha..mimi mwakani nachukua fomu kata fulani hivi nautaka udiwaniWacha kunifanyia roho mbaya Mzee mwenzangu.....Unajua Uchaguzi unakaribia unataka nipoteze nafasi ya kukutana na Rais wakati akiongea na Watanzania kupitia sisi Wazee wa DSM?
Nataka kukumbushia na like ombi letu la kuongezwa Pension pamoja na matibabu bure Kwa Wazee 🤗
Hahahahaha kikao saa ngapi mkuu ..halafu DDC ipi sasa..kuna kariakoo ,kuna Magomeni, kuna Keko na ile ya Mwenge ..kikao kiko DDC ipi mzee mwenzangu,namalizia misa nijeLeo Wazee tuna kikao chetu Ukumbi wa DDC Mlimani park, nadhani vyema uhudhurie msikie utetezi wangu 😜
Mimi bado ni Mzee mwenzenu tena niliyekula chumvi nyingi 🤗
Hahahaha..ngoja kwanza twende DDC tukamsikilizeMimi kama kijana wa zamani nakutoa rasmi kwenye kundi la wazee🤣🤣
Daah laana ya kumchafua na kumchukia huyu mzee itatutafuna sana watanzania![]()
October 29 1959 - March 17 2021.
W@$3ng3 wakiona picha yake tu wanaogopa hadi leo.
Na itawatafuna sana tuDaah laana ya kumchafua na kumchukia huyu mzee itatutafuna sana watanzania