Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha....hiyo sentensi ya mwisho imenifanya nipaliwe maji [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Huku kwetu mkwe bora hata ya Mbeya, hata maji bado tunachoka mtoni/visimani. Hata umeme hakuna, nyumba ndio hizo unazoponda za udongo.


Kivutio pekee kilichobakia ni mkeo ambae pia yuko singo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anne mama,, mimi sihitaji kura za maoni ili ipitishwe kwamba ninajua kinyakyusa kwa vile najua kuwa najua basi imeisha hiyo haina mjadala tena.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka Sana,
Wewe siku hizi unavuta maana sio bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kijana mpya gari ya zamani!
2019-11-28%2008.27.29.jpeg
 
Back
Top Bottom