Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Usinifanyie hivo tafadhali 😀😀😀 afu njoo wasap nikupe kitu 💃ati mdogo wako wa mwisho,, wewe january hesabu maumivu tu mbona..
Usinifanyie hivo tafadhali 😀😀😀 afu njoo wasap nikupe kitu 💃ati mdogo wako wa mwisho,, wewe january hesabu maumivu tu mbona..
Lala dogo ukueUsiku mwema.



anne mama,, mimi sihitaji kura za maoni ili ipitishwe kwamba ninajua kinyakyusa kwa vile najua kuwa najua basi imeisha hiyo haina mjadala tena.. 


Wewe mnyakyusa feki.
Tena ndiyo Nini Sasa?
😀😀😀anne mama,, mimi sihitaji kura za maoni ili ipitishwe kwamba ninajua kinyakyusa kwa vile najua kuwa najua basi imeisha hiyo haina mjadala tena..
![]()
Usinifanyie hivo tafadhaliafu njoo wasap nikupe kitu
![]()
Chako peke ako..hakuna kushare na mtuNa unipe kweli,, we nizingue tu..




Huku kwetu mkwe bora hata ya Mbeya, hata maji bado tunachoka mtoni/visimani. Hata umeme hakuna, nyumba ndio hizo unazoponda za udongo.
Kivutio pekee kilichobakia ni mkeo ambae pia yuko singo![]()

nakuja nikikute huko,, tatizo wewe na Saint anne sijui mna ugomvi na whatsapp..
Chako peke ako..hakuna kushare na mtu
Mshua upo humu Jf pia
Nimecheka Sana,anne mama,, mimi sihitaji kura za maoni ili ipitishwe kwamba ninajua kinyakyusa kwa vile najua kuwa najua basi imeisha hiyo haina mjadala tena..
![]()













NdiyoUmemuunga mkono kwamba mimi nina matatizo!! Ndiyo nauliza hata wewe kweli??


Wapi hapo mkuu,panaonenakana pako fresh.
WhatsApp wanatumia wafanya biashara, wazee na watoto chipukizi kama wewe na Atoto sisi watu wa makamo akuuu
![]()





Yah maramoja moja sio mbayaMshua upo humu Jf pia