Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Usijali mpendwa nawekaAsante.. weka na wewe sasa mpendwa
Usijali mpendwa nawekaAsante.. weka na wewe sasa mpendwa
Weka leo basi nikuone
Najua unaninyima, poa tu nitafanyaje tena
![]()
Mke sio jembe lakiniHuna shida ya mke,mchagua jembe si mkulima
Toka mlivyokosoa picha yangu Jana sina hamu mimi.Hahahaha hivi ubishi una umri enh?? We dada we kuna watu wazima mimi nawafahamu ni wabishi mi nasubiri!!
Weka picha basi aisee
Nialike nije na huko kwenu mkwe...ila kuwe na vivutio kusiwe kama Mbeya








mm sio mtoto aisee, yan mimi kabisa unataka unifananishe na Saint anne wa 99? Sio haki kabisa....afu mimi hakuna kitu nimebisha ila nyie mnaouforce uhenga ndio mnashindwa kutuelewa au sio mzee mwenzangu Karma
Unataka tuanze kubishanaMke sio jembe lakini
Unaweka niniUsijali mpendwa naweka
Malizia methali hii:Wewe si kioo cha simu yako kimepasuka?? Basi na mimi picha zangu zimeisha!!
Ulivyoelewa wew kichwani mwako ndio hicho nawekaUnaweka nini
We pia mbishi sana kuliko hata wakina saint anne na karmaUnataka tuanze kubishana
Hahah aisee...Basi hamia Songwe kule uwe wasikia sauti za midege inayotua na kupaa hata usiku
Weka sasa,hata mimi nataka nishuhudieUlivyoelewa wew kichwani mwako ndio hicho naweka
Mguuu mrembo jamaniii sisi wengine tumepewa kuniWakati namaliza Adv...mwaka 1993View attachment 1279756
Unapenda nini? Daah! Wanyaki nasikia mnaridhikaga na vitu vidunchu sana...Safi 💕Ah sasa songwe nako kuna ndege basi?? Kwa mtu kama mimi ninayependa milio ya ndege kibongobongo airport kama jnia ndiyo itanifaa!!
Yan ulivyo fasta sasa 😍Mguuu mrembo jamaniii sisi wengine tumepewa kuni