Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ah sasa songwe nako kuna ndege basi?? Kwa mtu kama mimi ninayependa milio ya ndege kibongobongo airport kama jnia ndiyo itanifaa!!
Unapenda nini? Daah! Wanyaki nasikia mnaridhikaga na vitu vidunchu sana...Safi [emoji177]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaa yaani hayo majibu na hiyo avatar nimejikuta nacheka mara dufu,, wamejibu hivyo kwenye paper au??
Haya ni majibu ya wanangu...
1. Gawa mali
2. Acha wosia
3. Tumia pesa
4. Chimba kaburi
5. Utakata roho
6. Omba msamaha
7. Tubu dhambi
8. Utakiona cha moto
9. Lazima uage ndugu
10. Lazima uishi
11. Kula maisha

Nk nk nk.
 
Back
Top Bottom