Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu nilitaka kumfanyia km surprise ushaharibu na wewe

Uduguu hii ni kweli kabisaa nilipanga nkufanyie bonge la surprise kwa jinsi nilivyokuwa nakukubali basi tu.!!!
Sijui kwann shetani kapita, nilitaka nikupe iphone hii serious kabisaaa ilitoka moyoni.!!
Dah!! Ila shetani mbaya sana

Ila nitatimiza ahadi uduguu akikubali, halafu mimi nilitaka tuwekane sawa tu wala sijammind.!! Ningemmind ningepandisha mashetani muda huu ningekuwa na ban
timiza ahadi maana ulikuwa umepanga
 
😀😀😀 Mimi sinaga uadui kabisaaa.. haswaaa kwa uduguu wangu, hapa nishammiss mwenyewe 😔😔😔

Nyingine akija udugu nitaselfika 😂😂😂
Mama miongozo njoo chino kasema turudishe uduguu na uwifi wetu ole wako ukatae 🤠🤠
Mimi ndio mtu pekee ninyekupenda humu shauri zako…. Njoo bana utupie picha za hipusi donti lai 😊😊
haha!
Msije mkanipiga tena tukio na udugu.

(Chino pia nilikuwa najieleza sana namna navyokupenda) kwa huyu mzee sumbai badluck hakufikisha salam kwako
 
Weuweee
Udugu ake iphone anayo hana?
Macho matatu kalikali ya kikemia
Anatoa kweli na alipanga, wiki iliyopita niliona saa ya hublot huko insta inauzwa 290k, nikamuonyesha. Fasta tu kesho yake mzigo nikaletewa
Screenshot_20240228-182211_1.jpg
 
haha!
Msije mkanipiga tena tukio na udugu.

(Chino pia nilikuwa najieleza sana namna navyokupenda) kwa huyu mzee sumbai badluck hakufikisha salam kwako
Hajafikisha 😂😂😂
Mi na uduguu yameisha labda km yeye bado ana kinyongo aseme hapa…..
Ila mi nampenda tonnia wangu 😘😘😘
Udugu wangu peke yangu, si umeona leo kila mtu anashangaa sababu wanajua jinsi nilimpenda ukweli 🤠🤠🤠
 
Back
Top Bottom