Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Naona ni watu wawili tofauti😂😂😂😂 Sasa ndio afanane jina na mimi huyo cute……
Kantry kaamua kuchangamsha kijiwe sina pesa yoyote, nimefulia niko choka mbaya…
Hapa nasubiri anipe pesa nianze biashara ya kukopesha sabuni 🤣🤣🤣
Ngoja nitafute mwingine
Wewe sijui utakuwa yupi katika wanawake madon wa Kariakoo
Mm nawajua karibia wote maana nimepita pita humo kwenye cargo mnakosafirisha mizigo yenu na nilikuwa nawasiliana na nyie matajiri.




