Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,854
Uweke nini?? 😂😂😂Naomba niweke Leo tu, kulainisha mods
Uweke nini?? 😂😂😂Naomba niweke Leo tu, kulainisha mods
Shida anaweza kumind sana, Ila akiruhusu naweka fasta tuWeka shemeji
Tunasubiri
Uzuri picha nimeitunza[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku utambamba tu. Kuna kitu nimeshtuka hapo[emoji23]
😂😂😂😂 Ila leo umeamua AnnaAkiwepo shemeji hakuna kinachoshindikana
Huyu ndo mheshimiwa sasa tunayemjua Toka enzi hizo za siasani.
Acha kabisa, Leo siku nzima nilikua na furaha isiyo ya kawaida kuna kitu nafanya acha kabisa[emoji119][emoji119][emoji119]Inabidi tuanze kuongea vizuri na hawa matajiri
Hakuna chochote cha kuamini 😂😂😂Amini kwamba
CCM oyeeee!! 😂😂😂😂Hana baya
CCM mwenzetu huyo
😂😂😂😂Weka shemeji
Tunasubiri
Shida anaweza kumind sana, Ila akiruhusu naweka fasta tu
😂😂😂 Nasema ukweliDaah haya unayoombea yaache
Mtu alishabishana na Bavicha waliovurugwa huko na wakamshindwaCCM oyeeee!! 😂😂😂😂
Wakati wa amani ndio wa kutengeneza silaha, sasa hivi hapa muda huu kuna amani hivyo kila mmoja atengeneze silaha zakeIla wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂 MfyuuuuMm nasema kweli, hapo ntang'ang'ania hata wakinifukuza sitoki. Hata akinitukana sitokiiii
Hilo nimemueleza sana aiseeHajui umasikini unavyoumiza huyu
SubiriUweke nini?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajitahidi 😂😂😂😂Acha kabisa, Leo siku nzima nilikua na furaha isiyo ya kawaida kuna kitu nafanya acha kabisa[emoji119][emoji119][emoji119]
Natamani nikuwekee hata intro tu
Acha kabisa, Leo siku nzima nilikua na furaha isiyo ya kawaida kuna kitu nafanya acha kabisa[emoji119][emoji119][emoji119]
Natamani nikuwekee hata intro tu
😂😂😂😂 Namchachua we muache ajimixMtu alishabishana na Bavicha waliovurugwa huko na wakamshindwa
Unadhani wewe kumind picha itakuwa kitu kikubwa sana kwake?
😂😂😂😂 Unanifanya nacheka sana, Anna unataka kuona nini??Niweke kidogo shemeji kabla bando langu halijatokomea
Na songesha hawanitaki tena,sina pa kukimbilia.
Weka fasta tumalize mambo🔥
😂😂😂😂😂 Udugu wangu nampenda ni shetani katupitiaWe weka tu
Kwani akimind anapasuka
Wamemindiana na udugu wake na hakuna aliyepasuka
Sembuse wewe kuweka picha?