Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee
Kumbe watu tunabishana na matajiri humu bila kujua

Ila mimi niliwaona hamna mbambamba mlivyoniungisha
maneno kidogo pesa inaongea.

anaishi wapi huyu tajirii anipe koneksheni hata ya udobi.
Leo nafunguka, I'm sorry lamomy

Anaishi Mbweni

Mfanyabiashara mkubwa kkoo, namaanisha mkubwa kweli kweli. Wholesaler wa........

Pia mfanyabiashara mkubwa wa pharmacy na pia cosmetics



Tuonane kesho
 
Leo nafunguka, I'm sorry lamomy

Anaishi Mbweni

Mfanyabiashara mkubwa kkoo, namaanisha mkubwa kweli kweli. Wholesaler wa........

Pia mfanyabiashara mkubwa wa pharmacy na pia cosmetics



Tuonane kesho
😂😂😂😂 wewe utafanya uzi ugeuke wa comedy huu sasa..!!
Mbona unataja vitu ambavyo nimeviota mpk nimechoka nimeamua niamke nisije kujikojolea buree
 
Nilijua tu kuwa huyu atakuwa tajiri

Nilikuwa namlinganisha na dada Fulani hivi naye ni mfanyabiashara mkubwa Kariakoo...trip zake za china huko..

Sasa namna huwa anapost status na jokes za hapa na pale unaweza dhani mwenzetu maana anachat hadi na sisi makapuku,hanaga hiyana kumbe!
Hela anayo na wala huwa hajitapi

Tone yake inaendana sana na cute..na nilikuwa nadhani ni yeye.
Ila alivyopost picha naona siyo yeye.
Leo nafunguka, I'm sorry lamomy

Anaishi Mbweni

Mfanyabiashara mkubwa kkoo, namaanisha mkubwa kweli kweli. Wholesaler wa........

Pia mfanyabiashara mkubwa wa pharmacy na pia cosmetics



Tuonane kesho
 
Antonnia nikimuweka gym miezi miwili namrekebisha body structure

Nampa na brain activator, namrudisha hapa alafu namuambia anza kupambana
Anto akienda gym atanougaa balaaa!! Sema ye problee ni kitampiiii kumbuka kashatotoa wawili tayari lakini mwanamke ukijifungia wenye miili ya kufumuka kitambi hakiepukiki obese sio poaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭


Tuendelee kutupia mafoto/ videos mtetezi 🤠
Na picha!
 

Attachments

  • Screenshot_20240218-105314~3.jpg
    Screenshot_20240218-105314~3.jpg
    35.1 KB · Views: 5
Nilijua tu kuwa huyu atakuwa tajiri

Nilikuwa namlinganisha na dada Fulani hivi naye ni mfanyabiashara mkubwa Kariakoo...trip zake za china huko..

Sasa namna huwa anapost status na jokes za hapa na pale unaweza dhani mwenzetu maana anachat hadi na sisi makapuku,hanaga hiyana kumbe!
Hela anayo na wala huwa hajitapi

Tone yake inaendana sana na cute..na nilikuwa nadhani ni yeye.
Ila alivyopost picha naona siyo yeye.
😂😂😂😂 Sasa ndio afanane jina na mimi huyo cute……
Kantry kaamua kuchangamsha kijiwe sina pesa yoyote, nimefulia niko choka mbaya…
Hapa nasubiri anipe pesa nianze biashara ya kukopesha sabuni 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom