Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂 Sasa ndio afanane jina na mimi huyo cute……
Kantry kaamua kuchangamsha kijiwe sina pesa yoyote, nimefulia niko choka mbaya…
Hapa nasubiri anipe pesa nianze biashara ya kukopesha sabuni 🤣🤣🤣
Naona ni watu wawili tofauti

Ngoja nitafute mwingine
Wewe sijui utakuwa yupi katika wanawake madon wa Kariakoo

Mm nawajua karibia wote maana nimepita pita humo kwenye cargo mnakosafirisha mizigo yenu na nilikuwa nawasiliana na nyie matajiri.
 
Forever and always [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]!
Wacha Tuendelee kuselfika na kutupia videos siee[emoji1783][emoji1783][emoji1783]!

Mmetishaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]!!
Yes, vita kidogo picha sana
 
Nilijua tu kuwa huyu atakuwa tajiri

Nilikuwa namlinganisha na dada Fulani hivi naye ni mfanyabiashara mkubwa Kariakoo...trip zake za china huko..

Sasa namna huwa anapost status na jokes za hapa na pale unaweza dhani mwenzetu maana anachat hadi na sisi makapuku,hanaga hiyana kumbe!
Hela anayo na wala huwa hajitapi

Tone yake inaendana sana na cute..na nilikuwa nadhani ni yeye.
Ila alivyopost picha naona siyo yeye.
Amini kwamba
 
Anto akienda gym atanougaa balaaa!! Sema ye problee ni kitampiiii kumbuka kashatotoa wawili tayari lakini mwanamke ukijifungia wenye miili ya kufumuka kitambi hakiepukiki obese sio poaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]


Tuendelee kutupia mafoto/ videos mtetezi [emoji1783]
Na picha!
Watoto sio issue, nakutoa mafuta ya tumboni, hips hilo linakua limenyooka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa ndio afanane jina na mimi huyo cute……
Kantry kaamua kuchangamsha kijiwe sina pesa yoyote, nimefulia niko choka mbaya…
Hapa nasubiri anipe pesa nianze biashara ya kukopesha sabuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah haya unayoombea yaache
 
Naona ni watu wawili tofauti

Ngoja nitafute mwingine
Wewe sijui utakuwa yupi katika wanawake madon wa Kariakoo

Mm nawajua karibia wote maana nimepita pita humo kwenye cargo mnakosafirisha mizigo yenu na nilikuwa nawasiliana na nyie matajiri.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku utambamba tu. Kuna kitu nimeshtuka hapo[emoji23]
 
Nani yupo morogoro baadae tuonane kwa chakula cha jioni na kuzungumza mawili matatu...
IMG_2691.jpeg
 
Back
Top Bottom