Selfika na JF: Snap it. Show it


Siku hiz country mpole jamani
 

Kwano lamomy na mahondaw imekuwaje huwa ni marafiki
 
Hope you guys had funny today

I would recommend not to extend this conversation to any longer

If you have discussed any issue privately, I don't think if it is fair to have it openly here unless there is agreement between you two. Wanasema usimwage Mchele kwenye Kuku wengi.

Learn to respect and forgive each other. Haiwezekani mtembee na mambo hayo hayo Kwa miaka yote hiyo pasipo kusameheana.

Tumeambiwa samehe 7X70, na huu ni Mwezi wa Kwaresma.

There is no trophies awarded for the best Derider here. Zaidi itakuwa kuvunjiana heshima tu.

Kuna msemo "Kwenye Wazee hapaharibiki jambo"

Naomba muendelee kuwa na imani na Wazee 🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…