Wakiweka voice note na ulivyo na sauti laini ni umebeba bwana wa mtu nakwambiaπππππππmzee ana balaa huyo
Naskia kinena anakipaka na asaliππ
Me staki banaπ
Melo weka sehemu ya Voice noteπ
Kununiwa bongo, Nipe muongo na mie Alaaaa ππ€£π€£π€£ shida sasa utanuniwa na mams wake wa miaka nenda rudi.
Hivi nyie watu mko serious kweli ama mpo kwenye utaniππππ wala babu simfichi ni grahms, ulikuja kuniambia kwamba ananipenda eti nimtafute wakati ulisema Lenie kakuibia babu.. na aliahidi kumpa million, mwishoe akampa lakiβ¦
Na aliyekuunganishia babu gramhs ni coca πππππ
Kaka Miongozo unaibiwa ulivyokuwa haupo ulikuwa unasaidiwa nikwambie wala sio km anavyokuaminisha tukunyema lako kwamba alibaki bila mtu ni muongo π€£π€£π€£π€£
Uduguu hi π
Oyaah sio poa π€£π€£π€£π€£π€£Kweli inabidi kwenda kuoga maji ya bahari kama kila mwanaume unaibiwaπ€£π€£
Wee video yako iko wapi?? Mbona huweki tuone umekomalia wenzio waweke video??
Halafu ukisema shortiiiii ujue unamtukana anayekukaza kaka Sele
Si unajua mumeo sele wa mbosso kwa kimo??
Uduguuu unajitukana ujue
Naomba namba za babu jamanKweli inabidi kwenda kuoga maji ya bahari kama kila mwanaume unaibiwaπ€£π€£π€£
Babu Kwanza anitumie balansi yangu nimemnuniaπ€£π€£π€£
πππ sema we kwa kukataa me nakupa 10/10Hivi nyie watu mko serious kweli ama mpo kwenye utani
Unajua hai-make sense eti niwe natoka na mrembo mmoja hapa, then nikamwambia huyo mrembo anitafutie mrembo mwingine niwe natoka naye.
Hivi inawezekana kweli?
Sijui lengo lenu kwenye hizi mada zenu zisizoisha humu.
Hata kama huwa tunataniana ila please naomba mniheshimu japo Kwa Umri wangu.
Shida Kuna mtu ali lamba block, Naona kamati ilivyo kaa wakaona wa revengeππ€£. NuzulatiNilishangaa naingia online tag kama zote kusoma naona mapicha picha ila we una maadui wengi sijui kwa niniπππ
πππππnyieeeeeeeMzee nasikia bao moja anakupa laki bao mbili unapata laki nyingine πππ
We huogopi kutoka na Wazee πBabu na mimi naomba laki 2 kwenye ile namba yangu.
πππππnamwambia tu βdaddy niko na asali tayari, tuma hela ya flightβWakiweka voice note na ulivyo na sauti laini ni umebeba bwana wa mtu nakwambia
Naskia babu mlafi kichizi
Ko una maanisha π, au basi π€£πππ sema we kwa kukataa me nakupa 10/10
πΆπΆπΆπΆπΆNimekubahatisha leo! β€οΈ
Kuwa na imani na Wazee Mjukuu π€πππ sema we kwa kukataa me nakupa 10/10
Weka video sasa mbona unapiga domo tupu
Ww unajiamini ila video huweki, leo utakosa maziwa ya kumnyonyesha mtoto ujue
Ukisema hivyo Babu yenu Presha inazidi kupanda ujueπTulia mzee utafia kwenye kinenaπππ
πππππππ dah! Ila Jf me nawauza banaπππππnamwambia tu βdaddy niko na asali tayari, tuma hela ya flightβ
Babuu mkonga juu juu shwaaa shwaaa madolari hayooooπππ
Kafie mbele huko π€£π€£π€£Kuwa na imani na Wazee Mjukuu π€
I swear over my dead body