Selfika na JF: Snap it. Show it

Unafahamu fika kinachoniuma ni kunihusisha na ids mpya humu wewe unazingua na kutoka mwenyewe utasema yoteee afu mi sijafungua hata mdomo wangu!
Ukajifanya kumtumia Antoniia ndio kuja kufatilia vizuri kujua yalipoanzia !

Usijifanye fyatu wewe
Mama miongozo tupate breki kidogoo kuna issue moja naifanya, twende mapumziko tutarudi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Makubwa hayaa mie huyu nihanhaike na video yako????? Ndio ikapelekea nini Hadi ukaanza kuita watu kuuliza kama ndoile kama sio undumilakuwili unaokusumbua??? Afu ulomwita hata hakuja ukabakia unahaha na mashankupe wenzio!

Nasemaaaajeeeeee bado hujasemaaa!
Endelea kutupia Uzi usipoee huuu finally umejikusanya nakuanza kutupia khakhakhaaaa!. Kapinnchi bana

Na picha wapendwaaa!!
 

Attachments

  • Screenshot_20240227-111632.jpg
    293.3 KB · Views: 6
Mimi mlikuwa mnanishangaza kuimba bwana ana hela et tumemwiba?
Wakati mimi nilikuwa nafanya mission ya kumjua baada ya Yna2 kuninyima picha yake.
Bwana ana hela na Antonia anapost picha camera 1/10. Kwamba miaka yote hiyo kashindwa kutunza za kuhongwa achukue hata ka A series?

Uzuri aliandika mwenyeww kwamba alikuwa ana hasira na uchungu baada ya kuachwa. Ila karudiwa. Bado utulivu hamna, ana shida gani?
Aseme wanawake wenzake tumsaidie
 
Basi hapo kavimbisha mashavu ingekuwa kipindi kile angewahi pm kukandia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mama miongozo umeona chuma hiko??
Ndiomana presha nyingi
Nimelia πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Ubuyuu huuuuu eheee
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kwani bwana mwenyewe anatumia simu gani
Mule muleeeeeπŸ˜‚
Naomba na mimi nsaidie mwanamke mwenzio
Hata ka 14 pro tu, naomba muongozo kwnye hiloπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Nyie
 
Weka na screenshot kusapot your claim kama ulivofanya hapo juu! Wewe ni mtu wa makavu na bado utabaki kuwa Ndumilakuwili!

Nasubiria Hizo screenshot na za mimi kuibiwa babu kajikusanye nguvu vizuri ukija uanze nazo
 
Dah Eti ka a series 🀣😁
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kwani bwana mwenyewe anatumia simu gani
Mule muleeeeeπŸ˜‚
Naomba na mimi nsaidie mwanamke mwenzio
Hata ka 14 pro tu, naomba muongozo kwnye hiloπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Samsung S6 nini 🀣🀣🀣

Usinambie kitu kuhusu 14pro
Ntalia 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…