Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani humu unaweza zushiwa kitu ukasema dadeq ..

Wapika ubuyu ni watu na nusu 😂😂

Yaani kwenye hili ni Bora kukaa kimya
 
Naona unajichanganya humu watu ni vipofu hawaoni????

Mie huyu ambae nachambwa wa bushi kijijini sijui kuvaa nilimsema nani hamjui kuvaaa?? Tuliza wenge shortiiii Mimi ndio nasemwa sijui kuvaa and lots of blah blah!

Hao mnasema tulishea bwana kwa wanawake kawaida sana hiooooo Haya wee nae huko kuniandama kwemaa? Nina uhakika hatujashea mtu so better mind your uwn fcking bizneee short lady Mikwara uchwara yako hukoooo wa mapimbi wenzio Afu mie sio bongenyanya sawa???

Hebu nawewe tupia basii mbona huamini picha zako mwenyewe??
Halafu ile sio video ni screenshot kimaaa wewe nikiweka video utakimbia tena invojua kunitoa vizuri kuliko Kamera ya foto sasa!

Nhaaaaaa🙄🙄🙄🙄


Chat na picha msemaji na mwanahabari wa wake wenzangu !! Wao hawana midomo??? Hawajiamini hadi wakutume???

Acha nyegembwatuko weeweeee!
 
Mama miongozo kasema tuselfike wacha niselfike kidoogooooo 😂😂😂😂 inafutwa
Hili nalo la kujadili? Nasemaaaajeeeeee Bado hujasemaaa..!
Nasubiria jipyaaaaaa na videos plus your selfisss
Mimi siyumbishwiii kapinnchiii pensoooo utahahaa mpaka basi!

Smart miongozo Smart miongozo Smart miongozo!! Nawe njoo uongezeke naona unaumiaaaaa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🐒🐒🐒🐒🐒
 

Attachments

  • Screenshot_20240227-111748~2.jpg
    17.9 KB · Views: 6
Weka video sasa mbona unapiga domo tupu 😂😂😂
Ww unajiamini ila video huweki, leo utakosa maziwa ya kumnyonyesha mtoto ujue 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…