Pedesheeee ndramaaaa,
Kipengele gani hukuelewa Coca?afanye akujee tyuuh, hakuna namna.
Vyoteee, maana wananichanganya sielewi nishike lipi niache lipi,Kipengele gani hukuelewa Coca?
Si uwaite tu wote aletuya na Rabbitus wakutane hapa wakueleze nini huelewiVyoteee, maana wananichanganya sielewi nishike lipi niache lipi,
Rab alisema na kushusha PDF, anakuja DA tin anasema haikua hvyooo.
Mbea mie ndo navurugwa balaa, nataka kitu clear bhana.
πππ€£π€£ππππPedesheeee ndramaaaa,
Mtani nawee heka heka unaziwezaaa kumbee?
jamani wafanye wakujee, mbea nipate ubuyu ulokamilikaa haswaaa.
Siwezi kuishi na dukuduku la labda,
cha kuvalia shatiπI see the belly brother
π€£π€£π€£ utakuwa unaniletea basi huko jela au utaacha kila sku niwe nakula ugali kisa uraiani skuulaAngalia tu dogo usije kufanya mauaji ya kukusudia ukaenda jela
Bado tunahitaji ule Red velvet π,jela hazipo hizi
Brother una kiendekezaπ, mi hata Nile vipi still siwezi pata kitambi.cha kuvalia shatiπ
Ndo nimemaliza mimialetuya
Wee DA tin uko wapiiii? Hebu kujaa hapa tuendelee tulipo ishia, mwenzioo sina rahaa ubuyuu wakoo sina vizurii, nakereketwaa balaaa,
Fanyaa ukuje hapaaa unijuzeee kipenziiii chakoo, na unajua bila umbea sina maishaa.
Tuishie hapo Cocastic .jamani wafanye wakujee, mbea nipate ubuyu ulokamilikaa haswaaa.
Siwezi kuishi na dukuduku la labda,[emoji23
Nishachoka mie
Seems Kilingala upo vizuri Mkuu?Mayday Adolphe Wangu Naja kwako Kutuliza moyo wangu mara Upendo unanifanya mjane wewe hai Mpenzi wangu niue wakati mzuri Adolphe
Ah Baba nalia nijibu samahani wapendwa Makaburi ya akiba shimo walilonunua pango Familia wamechoka kunifariji maana nakufa (tayari) Ah Baba nalia nijibu samahani Muteba.
Shimo la makaburi lilinunua caveau Familia imechoka kunifariji kwa sababu ninakufa (tayari) Ninaishi maisha yangu kwa siri Kwa sababu sifa yangu imechafuliwa nakuja kutumia hata wiki saoulΓ©e Kwa sababu upendo uko mbali nami ah Adolphe umenipata. Nimeenda mbali na mimi ah Mayday mayday mayday, tafadhali nihurumie eh Ah mama, maisha yangu yamekuwa magumu Tangu Muteba alipoondoka (Adolphe) Mpenzi wangu Tshilamwina tangu Nenda mimi si mwanaume Roho yangu inauacha mwili wangu bila mpangilio.
Hahaha.........wakati mwingine melody hufanya upende wimbo hata kama huelewi maana yakeKuna siku nasikiliza nyimbo ya kichina, si unajua walivyo wazuri kwenye violin na sauti.
Baadae na Google, Kumbe Ina hamasisha kuzingatia kilimo ππ