hii menthol ni nini wataalam , 🤣 nakumbuka niliwahi kuwa na mzee baba alikua anapenda kuvuta sigara ya SM (SWEET MENTHOL) Anadai inakaubaridi anakasikia kanapita kwenye kifua ni kweli?🤣🤣
hii menthol ni nini wataalam , 🤣 nakumbuka niliwahi kuwa na mzee baba alikua anapenda kuvuta sigara ya SM (SWEET MENTHOL) Anadai inakaubaridi anakasikia kanapita kwenye kifua ni kweli?🤣🤣
Leo nilikuwa kinondoni ❤️ makumbusho Mimi na mdogo wangu nikapitia Roby one kumnunulia sandozi na nguo za milioni moyaa wale wazee wa kupeleza katafuteni hii nilipotoa na izo nilizopiga ghorofani mkipatia natoa laki 3
Tajiri hachukuliwi powa
Leo nilikuwa kinondoni ❤️ makumbusho Mimi na mdogo wangu nikapitia Roby one kumnunulia sandozi na nguo za milioni moyaa wale wazee wa kupeleza katafuteni hii nilipotoa na izo nilizopiga ghorofani mkipatia natoa laki 3 😂 View attachment 2918602