Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,937
Dah! Imebidi nicheke tu 😂😂😂😂Kama ndugu tuli paruana, sembuse we jirani🤒.
👉Familia yetu ni bomu la nyuklia😁
View attachment 2918523
Kwahiyo mimi pacha wako bomu??
Dah! Imebidi nicheke tu 😂😂😂😂Kama ndugu tuli paruana, sembuse we jirani🤒.
👉Familia yetu ni bomu la nyuklia😁
View attachment 2918523
Tuwawekee ulingo mpiganeNiko na uduguu wangu, ujue kanimiss kipenzi chake lamama
Halafu mi nampenda sana, nishawahi kukuchenjia kwasababu yake unakumbuka??
Yani niliweka penzi langu rehani yote kumtetea uduguu wangu, bonge nyanya wangu mama Miongozo
Mi ndio rafiki yake wa kweli ambaye akizingua namchana live, siendi pm ya mtu kumteta namalizana naye hapa hapa….
Sema hapendi kuambiwa ukweli ndio shida yake

Siwezi kumpiga udugu wangu, mana ananijua nitamkanyaga mpk shemeji Sele aje kutupa muongozo 😂😂😂😂Tuwawekee ulingo mpigane![]()
Hi familia ni msala, mtakatifu ana geuka mtaka bifu😁Dah! Imebidi nicheke tu 😂😂😂😂
Kwahiyo mimi pacha wako bomu??
BaloziSiwezi kumpiga udugu wangu, mana ananijua nitamkanyagia mpk shemeji Sele aje kutupa muongozo![]()

😂😂😂😂 Nitamgeuza punching bag mi balozi akaulize Panda hill wampe taarifa zanguBalozi![]()
Nitamgeuza punching bag mi balozi akaulize Panda hill wampe taarifa zangu


Basi umefurahi mwenyewe kusikia habari za balozi 😂😂😂😂
Hiyo buheti ni ya yule muigizaji??Nani yupo hapa karibu twende kwa buheti tukalewe huku tukimsikiliza fally ipupa
View attachment 2918535
NdioooHiyo buheti ni ya yule muigizaji??
Njoo tunywe bia kakaHiyo buheti ni ya yule muigizaji??
Umempa wakati mgumu Antonnia aiseeBasi umefurahi mwenyewe kusikia habari za balozi![]()

Nalia mpaka mda huu kwikwi 🥹Mwanamke Mpana wewe😝😁
😂😂😂😂 Antonia uduguu wangu mi nampenda ndiomana namchana live na hata akinifurahisha nampamba live, halafu mi sio mnafiki namwambia ukweli….Umempa wakati mgumu Antonnia aisee![]()
Yaani sijaielewa ile comment yako ujue ina maana 😁😁😁Umeanza Nuzu 😂😂😂😂😂
Niache na uduguu wangu, huyu mi ndo namjulia nyie hamumuwezi, naenda naye taratibu km sitaki vile….
Basi punguza kulia 😂😂😂😂Nalia mpaka mda huu kwikwi 🥹
Sinywi bia, wala sivuti sigara bro.Njoo tunywe bia kaka
Kahudumie ndoa kwanza 😂😂😂😂Yaani sijaielewa ile comment yako ujue ina maana 😁😁😁