Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
Sikutajii ng’ooo kanyonyeshe 😂😂😂😂Jambo jema kama ni hivyo, hebu nambie ni babu yupi ulikuwadiwa?😁😁
Sikutajii ng’ooo kanyonyeshe 😂😂😂😂Jambo jema kama ni hivyo, hebu nambie ni babu yupi ulikuwadiwa?😁😁
Upo mkoa wa lindi 🤣😂 wewe ni mmakonde au mmakua wa msumbijiSinywi bia, wala sivuti sigara bro.
👉 Beside niko nanjilinjii mkuu 🤒
😁😁😁😁UliendaBabu mmoja hivi alimtuma eti akiona comment yangu mshipa wa ngiri unamsimama 😂😂😂😂
Chondechonde niende piem nikampe hata hi 😂😂😂😂
Nyie uduguu ananipenda ananitafutia mpk madanga.!! Ushawahi kuona hiyo??
Wala hakunizunguka aliniambia vizuri tuNasisitiza shem why mlimzunguka![]()



Mmakonde jamaa mfupi kama Harmo😁😁😁Upo mkoa wa lindi 🤣😂 wewe ni mmakonde au mmakua wa msumbiji
Nitajie kwa code😁Sikutajii ng’ooo kanyonyeshe 😂😂😂😂
Naomba funguka shem kwa niaba ya wengi ☺️Wala hakunizunguka aliniambia vizuri tu
Sema nikasema wala simmind antonnia, nikapotezea. Antonnia rafiki yangu sana
Ukitaka story yote sema, mm naweka wazi kuficha ndio huwa siwezi
Niende wapi ndugu yangu, mi hekaheka na vibabu wapi na wapi?? Nisije kuvisababishia heart attack bure mwenyewe najijua nna hekaheka km zote 😂😂😂😂😁😁😁😁Ulienda
Wizzy kalale puliiiiizzz 😂😂😂😂Wala hakunizunguka aliniambia vizuri tu
Sema nikasema wala simmind antonnia, nikapotezea. Antonnia rafiki yangu sana
Ukitaka story yote sema, mm naweka wazi kuficha ndio huwa siwezi
😂😂😂 Kalale we mwanamkeNitajie kwa code😁
Hebu acha kumjaza 😂😂😂Naomba funguka shem kwa niaba ya wengi ☺️
😁😁😁Yaani Tanzania heri ukose chakula utakunywa maji utalala kuliko kukosa bando😂😂😂😂😂😂
Ukifa stress Tanzania umejitakia mwenyewe.
Mm huwa sinaga code, nakuja hapa kukuandikia subiri kidogoNitajie kwa code![]()
Duh kumbe mie huwaga ananipanga yupo mwanza kumbe ni chinga wa kimakonde 😂🤣😁😁😁Mmakonde jamaa mfupi kama Harmo😁😁😁
Hakuna kuandikaMm huwa sinaga code, nakuja hapa kukuandikia subiri kidogo
Wana niita jobless pro max, kutoka milima ya u jobslesini😀Upo mkoa wa lindi 🤣😂 wewe ni mmakonde au mmakua wa msumbiji
Hii imetoka moyoniKantry najua umetulia unashusha essay yako, naomba acha kusema mambo yangu….
Nitayasimulia mwenyewe kwa muda ninaotaka, nakufahamu friji lako bovu….
Acha kunigombanisha na uduguu wangu![]()
