Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,781 Watu8 said: Hakuna kwa sasa... Kamji kalivyo kachafu kale, wangekuwepo mji ungekuwa unapendeza kidogo... Siku moja nitakuja Mbeya tena nikapnde ile lift Click to expand... Tutake radhi Wana mbeya Ati mbeya pachafu? Na dar watasemaje?? Karibu Sana jiji la kijani
Watu8 said: Hakuna kwa sasa... Kamji kalivyo kachafu kale, wangekuwepo mji ungekuwa unapendeza kidogo... Siku moja nitakuja Mbeya tena nikapnde ile lift Click to expand... Tutake radhi Wana mbeya Ati mbeya pachafu? Na dar watasemaje?? Karibu Sana jiji la kijani
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 2, 2019 #37,782 hivi kumbe kijiti cha dodoma nacho kikali enh?? Saint anne said: Au wewe shoga unaweza?? Mimi nilishashindwa siku nyingi Nataka kuona vitu halisi,macho yenyewe mabovu haya Click to expand...
hivi kumbe kijiti cha dodoma nacho kikali enh?? Saint anne said: Au wewe shoga unaweza?? Mimi nilishashindwa siku nyingi Nataka kuona vitu halisi,macho yenyewe mabovu haya Click to expand...
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Dec 2, 2019 #37,783 Saint anne said: Ooh ushuani kisasa. Click to expand... Wapiiii, mie naishi huku changanyikeni.
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Dec 2, 2019 #37,784 Boojo boojo...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,785 Karma said: Wooiii nimekuambia danganya watoto wenzio kina Depal siyo mie Click to expand... Hivi bado huamini Naomba uende kwenye thread ya zero IQ ile ya kuchat kilugha(lugha za makabila) Utaona
Karma said: Wooiii nimekuambia danganya watoto wenzio kina Depal siyo mie Click to expand... Hivi bado huamini Naomba uende kwenye thread ya zero IQ ile ya kuchat kilugha(lugha za makabila) Utaona
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,769 Dec 2, 2019 #37,786 Hahahaaa. Aunt S nilimpa salamu. Aunt J kasema unamchunia. Wengine wote ntafikisha salama Nyani Ngabu said: Hey wewe.....Anko Juju kawamiss pia. Wasalimie na wale ma-auntie...Auntie J...Auntie H....Auntie S....na wengine wote ambao bado sijawaona Click to expand...
Hahahaaa. Aunt S nilimpa salamu. Aunt J kasema unamchunia. Wengine wote ntafikisha salama Nyani Ngabu said: Hey wewe.....Anko Juju kawamiss pia. Wasalimie na wale ma-auntie...Auntie J...Auntie H....Auntie S....na wengine wote ambao bado sijawaona Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,787 Karma said: hivi kumbe kijiti cha dodoma nacho kikali enh?? Click to expand... Dah Cha huku Ni zaidi ya Cha arusha
Karma said: hivi kumbe kijiti cha dodoma nacho kikali enh?? Click to expand... Dah Cha huku Ni zaidi ya Cha arusha
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,769 Dec 2, 2019 #37,788 Tupe ya nyuma troublemaker said: Nilishajitetea kuwa kamera ya simu yangu mbovu. Nivumilieni karibu naitengeneza. Click to expand...
Tupe ya nyuma troublemaker said: Nilishajitetea kuwa kamera ya simu yangu mbovu. Nivumilieni karibu naitengeneza. Click to expand...
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,153 Reaction score 137,162 Dec 2, 2019 #37,789 Mzigua90 said: Mdogo wake kisura?? Click to expand... Yup.... Majukumu yameongezeka sasa.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,790 Atoto said: Wapiiii, mie naishi huku changanyikeni. Click to expand... Watu wa ushuani mna tabu Sana Kisasa wapi huko changanyikeni
Atoto said: Wapiiii, mie naishi huku changanyikeni. Click to expand... Watu wa ushuani mna tabu Sana Kisasa wapi huko changanyikeni
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 2, 2019 #37,791 Sasa mbona hujanitag huko jamani?? Halafu kwani kukaa mjini ndiyo kutokujua lugha?? Na kwahiyo wewe hapo ulipo hadi kigogo unakijua siyo?? Enhe!! Saint anne said: Hivi bado huamini Naomba uende kwenye thread ya zero IQ ile ya kuchat kilugha(lugha za makabila) Utaona Click to expand...
Sasa mbona hujanitag huko jamani?? Halafu kwani kukaa mjini ndiyo kutokujua lugha?? Na kwahiyo wewe hapo ulipo hadi kigogo unakijua siyo?? Enhe!! Saint anne said: Hivi bado huamini Naomba uende kwenye thread ya zero IQ ile ya kuchat kilugha(lugha za makabila) Utaona Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 2, 2019 #37,792 weeeee usiniambie Saint anne said: Dah Cha huku Ni zaidi ya Cha arusha Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,793 Karma said: nilijua tuu Click to expand... Tumuulize @Atoto,ana majibu ya hili swali.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,794 Karma said: Sasa mbona hujanitag huko jamani?? Halafu kwani kukaa mjini ndiyo kutokujua lugha?? Na kwahiyo wewe hapo ulipo hadi kigogo unakijua siyo?? Enhe!! Click to expand... Sasa wewe wa mjini unajua lugha gani? Hembu sema ukweli.
Karma said: Sasa mbona hujanitag huko jamani?? Halafu kwani kukaa mjini ndiyo kutokujua lugha?? Na kwahiyo wewe hapo ulipo hadi kigogo unakijua siyo?? Enhe!! Click to expand... Sasa wewe wa mjini unajua lugha gani? Hembu sema ukweli.
Vhagar JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 20,774 Reaction score 40,446 Dec 2, 2019 #37,795 Mzigua90 said: Tupe ya nyuma Click to expand... Hii simu yangu ilipatwa na majanga wewe acha tu si unajua tecno tena.
Mzigua90 said: Tupe ya nyuma Click to expand... Hii simu yangu ilipatwa na majanga wewe acha tu si unajua tecno tena.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,796 Karma said: weeeee usiniambie Click to expand...
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Dec 2, 2019 #37,797 Saint anne said: Tumuulize @Atoto,ana majibu ya hili swali. Click to expand... Kwani huwa kanakubali sasa? Mwenyewe alisema ana PHD ya ubishi.
Saint anne said: Tumuulize @Atoto,ana majibu ya hili swali. Click to expand... Kwani huwa kanakubali sasa? Mwenyewe alisema ana PHD ya ubishi.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,798 Karma said: Oohh labda useme hapo,, mie mbeya kinachonikera panawahi sana kupoa wakati mie napenda sehemu kuwe na makelele muda wote mfano kwa dar sehemu kama mbagala hivi hata ukitaka kutoka usiku wa manane unatoka.. Click to expand... Mbeya saa 4 hukuti daladala. Ndo vizuri ,tunalala pasi na makelele Mbeya kunawafaa watu Kama mimi
Karma said: Oohh labda useme hapo,, mie mbeya kinachonikera panawahi sana kupoa wakati mie napenda sehemu kuwe na makelele muda wote mfano kwa dar sehemu kama mbagala hivi hata ukitaka kutoka usiku wa manane unatoka.. Click to expand... Mbeya saa 4 hukuti daladala. Ndo vizuri ,tunalala pasi na makelele Mbeya kunawafaa watu Kama mimi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Dec 2, 2019 #37,799 Atoto said: Kwani huwa kanakubali sasa? Mwenyewe alisema ana PHD ya ubishi. Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Dec 2, 2019 #37,800 khaa yaani unataka kesi ya nyani nipeleke kwa ngedere halafu nitegemee eti ngedere atakuwa upande wangu?? You girl!! Saint anne said: Tumuulize @Atoto,ana majibu ya hili swali. Click to expand...
khaa yaani unataka kesi ya nyani nipeleke kwa ngedere halafu nitegemee eti ngedere atakuwa upande wangu?? You girl!! Saint anne said: Tumuulize @Atoto,ana majibu ya hili swali. Click to expand...