Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani humu wachawi kote kote
Siikumbuki nishahau na kufuta

Ila vichambo haswa
Ila hao watu dah 😂😂

Yeah ni Bora mfunge wote na kukaza na hakuna kufungua hata iweje .

Muwe mnaongea kwa pamoja .

Uaminifu pia .
Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano 😂😂😂😂
Ila JF kuna mtu unamuona shosti huwezi amini anachat piem na mpz wako na wanakuteta kabisaaa!!!
 
Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano 😂😂😂😂
Ila JF kuna mtu unamuona shosti huwezi amini anachat piem na mpz wako na wanakuteta kabisaaa!!!
Basi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..
Urafiki wa mchongo , mahusiano ndo kabisa .

Yaani watu ni Wana wivu hatariiiiii
 
Bhana Coca
Nilimpenda sana , na kumuamini sana ni hayo tu ..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ujinga pia wa kuamini watu .
Lazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..
Urafiki wa mchongo , mahusiano ndo kabisa .

Yaani watu ni Wana wivu hatariiiiii
Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password 😂😂😂
Mi nna ushahidi kabisa bro mmoja kapiga mtu na shogaake na bi mkubwa hajui
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Toleo jipya sio shida zako, unakunjwa na unakunjika
Haswaaaaaa, tena mlainiiii, mlenda unasubirii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password 😂😂😂
Mi nna ushahidi kabisa bro mmoja kapiga mtu na shogaake na bi mkubwa hajui
Hivi humu mtu anapata wapi ujasiri kukwambia ana kupenda bila kusahau kukwambia uko peke yako 😁😁😁😁

Mtu mmoja ambaye anauwezo wa kumiliki ID hata mia😁😁😁😁
 
Lazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hehee 😂😂😂
Anajua kujali sana
Anaonyesha upendo
He's sweet balaa
Genius
Protective
Anakupa muda wake hii ndo kazidi
Anatamani kukuinua kwanza
 
Back
Top Bottom