Eeh jamani nyie 😂😂Yupiiii huyooo? rab au wa sate sauzand? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Great guy haswaaa.
Rab
Eeh jamani nyie 😂😂Yupiiii huyooo? rab au wa sate sauzand? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Great guy haswaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kelele ni endelevu, hazina ukomo wa muda.Lazima tuseme ukweli tumechoka na kelele zisizo isha humu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chiziii wee.We selemani wee selee [emoji23][emoji23][emoji23]
Sele ana vikorombwezo vingi tatizo
Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano 😂😂😂😂Yaani humu wachawi kote kote
Siikumbuki nishahau na kufuta
Ila vichambo haswa
Ila hao watu dah 😂😂
Yeah ni Bora mfunge wote na kukaza na hakuna kufungua hata iweje .
Muwe mnaongea kwa pamoja .
Uaminifu pia .
Muongo 😂😂😂Aisee jamani hajala jamani
Hata sijawahi mtia machoni
Basi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano 😂😂😂😂
Ila JF kuna mtu unamuona shosti huwezi amini anachat piem na mpz wako na wanakuteta kabisaaa!!!
Na mie ndo naitakaa hiyo page, sikubali hataKuna page kachana Tin [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 Sele wa moto, anapiga mitukunyema mpk vimbaumbau haachi kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chiziii wee.
Wee em sema jaman. [emoji23][emoji23][emoji23]Sizijui mm
Eeeeh jamaniMuongo 😂😂😂
Kaka alikula ndiomana wivu ulikuwa mkali
Lazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plzBhana Coca
Nilimpenda sana , na kumuamini sana ni hayo tu ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ujinga pia wa kuamini watu .
Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password 😂😂😂Basi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..
Urafiki wa mchongo , mahusiano ndo kabisa .
Yaani watu ni Wana wivu hatariiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema dyadyaaa semaaa.Ogopa sana Mwanaume uliye mkwapua kwa mwenzio ukidhani atatulia tabia ni kama ngozi daima haivuki [emoji16][emoji16][emoji16]
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣 Sele wa moto, anapiga mitukunyema mpk vimbaumbau haachi kitu
Haswaaaaaa, tena mlainiiii, mlenda unasubirii.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Toleo jipya sio shida zako, unakunjwa na unakunjika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli asemee tyuuh.Si useme na papa alikula kwani shida iko wapi Tin?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hali ya kawaida asingepanic vile bana, hivi national na Rab nani kati yao ulimpenda sana??Eeeeh jamani
Hamuamini. Basi ila mm najua .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kusemana.comEeh [emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani unaonyeshwa sms unavyochambwa ila humu ni kusemana .com
Hivi humu mtu anapata wapi ujasiri kukwambia ana kupenda bila kusahau kukwambia uko peke yako 😁😁😁😁Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password 😂😂😂
Mi nna ushahidi kabisa bro mmoja kapiga mtu na shogaake na bi mkubwa hajui
Hehee 😂😂😂Lazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]