Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani humu mbona watu wengi wameachana na members wengi walifahamu ila amani imetawala why hawa wengine shida ni nini?Akili kichwani ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
We selemani wee selee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sele ana vikorombwezo vingi tatizo
 
Muda mwingine maneno ya nje yanakatisha tamaa
Alfu si una penzi ni two way .. mmoja akichoka hamna Tena upendo .

Ila yote yanatokea kwa sababu
Ila kama haijapangwa kuwa haitokuja kutokea .
Nataka nikwambie ukweli mapenzi ya kweli hayatetekeshwi kwa Maneno ya waja yaani kama mliachana kwa Maneno ya humu wote hamkuwa tayari kuanza safari ya mahusiano.
 
Sasa tuonane wapi wakti mie nipo dar yeye huko mkoani .

Nimemaanisha hao watu wanaenda kuharibu couple wanasema huyo demu ni mhuni.

Kama mm niliambiwa nimetoka na wanaume wengi humu selfika .

Kwa hiyo lengo kuu ni kukuharibia .
sasa wee DA tin, mwanaume yuko mkoa, wee uko mjini, unampaje za Jf, yaan alikufanyia nn kikubwa ukaona ulipe fadhira kwa kumpa Access ya kujua kila kitu kukuhusu?

Ngachokaaa mie,
 
sasa wee DA tin, mwanaume yuko mkoa, wee uko mjini, unampaje za Jf, yaan alikufanyia nn kikubwa ukaona ulipe fadhira kwa kumpa Access ya kujua kila kitu kukuhusu?

Ngachokaaa mie,
Bhana Coca
Nilimpenda sana , na kumuamini sana ni hayo tu ..

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Na ujinga pia wa kuamini watu .
 
mtaani wamejaa telee, Pa1 na kuwa toleo jipyaa, bado sikosi wa kunikunja 7, sasa maroboti ya JF mie ya nn??

Sio shida zangu kabisaaa.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Toleo jipya sio shida zako, unakunjwa na unakunjika
 
Walikuchambaje mahi? ๐Ÿ˜œ
Kwahiyo walikuwa wanamtaka huyo bwana??
Kwanini uliruhusu hayo? Humu mkiwa wapenzi na mnamaanisha wote fungeni pm zenu
Yaani humu wachawi kote kote
Siikumbuki nishahau na kufuta

Ila vichambo haswa
Ila hao watu dah ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yeah ni Bora mfunge wote na kukaza na hakuna kufungua hata iweje .

Muwe mnaongea kwa pamoja .

Uaminifu pia .
 
Bhana Coca
Nilimpenda sana , na kumuamini sana ni hayo tu ..

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Na ujinga pia wa kuamini watu .
Si useme na papa alikula kwani shida iko wapi Tin?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
I'd siitaki tu dear
Sina hata access nayo .

Kukiwa na maneno , upendo haipo
Shetwani aliingilia kati ..

He's a great guy haswa ....
Yupiiii huyooo? rab au wa sate sauzand?
Great guy haswaaa.
 
Back
Top Bottom