cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,371
- 188,080
Mama malezii karibu jamviniii, usiwe unapotea sanaa,Aah bila samahani.
Nakumic mno mie.
Mama malezii karibu jamviniii, usiwe unapotea sanaa,Aah bila samahani.
Sasa tuonane wapi wakti mie nipo dar yeye huko mkoani .Eeeeeeh haya mapyaa sasa, hao wahuni ni kina nani wataje DA tin tafadhariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em apia km Rab hakukukula wee? Na hamjawahi kuonana kweliii?
Hakuna kitu kama hicho ukileta mahusiano kwa watu wengi kwanza hakikisheni mnapendana kweli na kwa dhati na hakuna kati yenu mwenye makando kando.Weh ndo wataenda kwa mwingine huyo
Na kumjaza maneno kibao
Demu yule ana Ngoma ni hajatulia
Vikundi vinaundwa huko pm kwa lengo la kukuchafua w ke .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] JF nyoko mi kuna mtu alimfata kantry kumpa ushauri kuhusu mimi.!!
Yani humu mpk mababa na wamama wa kiroho wapo!!
Humu kwa moto km bwana zipu mbovu 😂😂😂Halafu humu mbona watu wana achana na hawa nyooshewi vidole,mfano ni Niffer wala kwa amani sababu Mwanaume alikuwa mtulivu shida ukiwa na wake wenza wengi 😁😁😁
Wee em sema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca hatujawahi onana na huyo kaka
Nothing happened .
😂😂😂😂 uduguu humu ushindwe wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DA jo bas wee umbea haukufaii kabisaa, hujaelewa hapo kila kitu kiko waziiii?Basi wakati nasubiri nisaidie kunipasulia TIN na SATE...hata kwa ufupi tu [emoji120]
Natamani kuelewa comments ila hizo terms mbili zinanitia kauzibe [emoji28]
Mimi kwa Sasa naona binadamu hamna Cha upendo wala nnHakuna kitu kama hicho ukileta mahusiano kwa watu wengi kwanza hakikisheni mnapendana kweli na kwa dhati na hakuna kati yenu mwenye makando kando.
Teh huu uzi wenu majengeka kila siku. Sitaki banMama malezii karibu jamviniii, usiwe unapotea sanaa,
Nakumic mno mie.
Nilichambwa huko hatari 😅😅Sema hujapata mwanaume mwenye msimamo angewashushua wote wangerudi sura zimewashuka 😂😂😂
Sasa hamjafichana na mkaamua kuonesha watu wa JF, kilichokukuta ni kipiii? Had umekimbia I'd yako ya mwanzo?Uwii mwenyewe nilishangaa kabisa yaani wivu wa aina Gani hivyo
Humu wanataka ukiwa na couple msionyeshane upendo
Mfichane kama dawa ya mbu
Yaani humu mbona watu wengi wameachana na members wengi walifahamu ila amani imetawala why hawa wengine shida ni nini?Akili kichwani 😁😁😁Humu kwa moto km bwana zipu mbovu 😂😂😂
Unaachwa unabeba chuma kingine sio shida zako kabisaaa.!!
Hahaha basi kama hutaki 😂😂Wee em sema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si wa njegeka zako zotee na PDF. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli upi Tena dear
Niki Kumbuka ile siku, sisisti kusema you're my best mate 💓💓.Hakuna kitu kama hicho ukileta mahusiano kwa watu wengi kwanza hakikisheni mnapendana kweli na kwa dhati na hakuna kati yenu mwenye makando kando.
Walikuchambaje mahi? 😜Nilichambwa huko hatari 😅😅
Ukiona screenshot unasema hii
Wengine pia sijui ke , nishasahau nilivyoambiwa huko 😂😂
Unapiga kwenye mshonoo mwayaaa, em twende taratibuuu.Halafu humu mbona watu wana achana na hawa nyooshewi vidole,mfano ni Niffer wala kwa amani sababu Mwanaume alikuwa mtulivu shida ukiwa na wake wenza wengi [emoji16][emoji16][emoji16]
Nataka nikwambie ukweli mapenzi ya kweli hayatetekeshwi kwa Maneno ya waja yaani kama mliachana kwa Maneno ya humu wote hamkuwa tayari kuanza safari ya mahusiano.Mimi kwa Sasa naona binadamu hamna Cha upendo wala nn
Mtu anaweza kukugeuka kwa sekunde .
Maana akishaanza kupewa maneno na wanadamu ni ngumu kwa kweli .