cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
We selemani wee selee
Sele ana vikorombwezo vingi tatizo





chiziii wee.We selemani wee selee
Sele ana vikorombwezo vingi tatizo





chiziii wee.Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano 😂😂😂😂Yaani humu wachawi kote kote
Siikumbuki nishahau na kufuta
Ila vichambo haswa
Ila hao watu dah 😂😂
Yeah ni Bora mfunge wote na kukaza na hakuna kufungua hata iweje .
Muwe mnaongea kwa pamoja .
Uaminifu pia .
Muongo 😂😂😂Aisee jamani hajala jamani
Hata sijawahi mtia machoni
Basi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano 😂😂😂😂
Ila JF kuna mtu unamuona shosti huwezi amini anachat piem na mpz wako na wanakuteta kabisaaa!!!
🤣🤣🤣🤣 Sele wa moto, anapiga mitukunyema mpk vimbaumbau haachi kituchiziii wee.
Eeeeh jamaniMuongo 😂😂😂
Kaka alikula ndiomana wivu ulikuwa mkali
Lazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plzBhana Coca
Nilimpenda sana , na kumuamini sana ni hayo tu ..
![]()
Na ujinga pia wa kuamini watu .






Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password 😂😂😂Basi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..
Urafiki wa mchongo , mahusiano ndo kabisa .
Yaani watu ni Wana wivu hatariiiiii
Ogopa sana Mwanaume uliye mkwapua kwa mwenzio ukidhani atatulia tabia ni kama ngozi daima haivuki![]()




sema dyadyaaa semaaa.😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣 Sele wa moto, anapiga mitukunyema mpk vimbaumbau haachi kitu
Haswaaaaaa, tena mlainiiii, mlenda unasubirii.Toleo jipya sio shida zako, unakunjwa na unakunjika






Si useme na papa alikula kwani shida iko wapi Tin??![]()




kwa kweli asemee tyuuh.Kwa hali ya kawaida asingepanic vile bana, hivi national na Rab nani kati yao ulimpenda sana??Eeeeh jamani
Hamuamini. Basi ila mm najua .
Eeh
Yaani unaonyeshwa sms unavyochambwa ila humu ni kusemana .com




eti kusemana.comHivi humu mtu anapata wapi ujasiri kukwambia ana kupenda bila kusahau kukwambia uko peke yako 😁😁😁😁Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password 😂😂😂
Mi nna ushahidi kabisa bro mmoja kapiga mtu na shogaake na bi mkubwa hajui
Hehee 😂😂😂Lazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plz
![]()
eti kusemana.com
Hatariiii tupuuuu
Sasa Great guy ndo alete njegeka hizi had uzi unayumba yumba km mlevi mpya kaona Bar classic?Eeh jamani nyie
Rab




wee DA tin em sema kweli.