Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,255
- 79,850
🤣😁Hiyo ni sanitizer ya kuua bacteria 😀😂, vpj natumia free internet 😀.
View attachment 2917618
🤣😁Hiyo ni sanitizer ya kuua bacteria 😀😂, vpj natumia free internet 😀.
View attachment 2917618
Nyie huu uzi leo wa moto unaenda kwa episode 😂😂😂😂😂Teh hicho ambacho "kilikuwa na mambo mengi humu" ni mimi au unakiongelea kinani? Na unaweza kuyataja hayo mambo?
Hatujawahi kuonanaOyooooo!! Kumbe kaka Rab alikula Tin 😂😂😂
Sasa kwann alikuwa anakuponda vile?? Au wivu? 😂😂😂
Tin endelea kumbe couple yako haikupendwa?? Maskini mwenyewe jamani…😭😭😭 nimelia sana
Kwahiyo bro sungura mzigo kala?? Na wote mlikojoa??
Nataka tu nijue wamebadil ID auCrew ipi? Zitajee nikufafanulieee? Ila utalipiaaa?
Umbea siku hizi ni fursa, hata Mange anaishi South California kwa ajiri ya umbeaaa.
![]()
Hapo ni spelling nimekoseaTeh hicho ambacho "kilikuwa na mambo mengi humu" ni mimi au unakiongelea kinani? Na unaweza kuyataja hayo mambo?
KumekuchaTeh hicho ambacho "kilikuwa na mambo mengi humu" ni mimi au unakiongelea kinani? Na unaweza kuyataja hayo mambo?
I miss you since 2012 my class mateTeh hicho ambacho "kilikuwa na mambo mengi humu" ni mimi au unakiongelea kinani? Na unaweza kuyataja hayo mambo?
Oyooooo!! Kumbe kaka Rab alikula Tin
Sasa kwann alikuwa anakuponda vile?? Au wivu?
Tin endelea kumbe couple yako haikupendwa?? Maskini mwenyewe jamani…nimelia sana
Kwahiyo bro sungura mzigo kala?? Na wote mlikojoa??





mbavu zangu mie walllah.Humu ni balaa na mkosi kwa kweli .km umeshazoea heka heka unaona zereu tyuuh, afu unaswampaaa km kauwaaaaa.
Hakuna kulengendeka, ni mbele mbelee hyooooo
![]()
Aah bila samahani.Hapo ni spelling nimekosea
Kulikuwa ndo nilimaanisha
Samahani
🤣🤣🤣🤣 JF nyoko mi kuna mtu alimfata kantry kumpa ushauri kuhusu mimi.!!Watu wanaenda na ushahidi pm ili couple ife aisee
😂😂😂
Usiku mwemaKumekucha
Coca hatujawahi onana na huyo kakambavu zangu mie walllah.
Khaaaaaaah
Uwii nimecheka jamani
Unanitafutia dhambi mm
Kuna Moja alipiga simu na kuniambia niingie online niweke vitu clear aisee
ndugu yangu alimchamba hatari halafu mie nikamjibu na kizungu sijui .





sasa mbona ulikuja kuomba msamaha DA tin? Wee em sena kweliii bhanaaHuo mwaka huo nilikuwa nimeshamalizana na masuala ya elimu kitambo mnooooI miss you since 2012 my class mate
Bado kidg,![]()
Uwii mwenyewe nilishangaa kabisa yaani wivu wa aina Gani hivyo🤣🤣🤣🤣 JF nyoko mi kuna mtu alimfata kantry kumpa ushauri kuhusu mimi.!!
Yani humu mpk mababa na wamama wa kiroho wapo!!
Dogo Umesha Rudi kutoka italy?