Selfika na JF: Snap it. Show it

Sio mkali mimi jamani πŸ˜‚πŸ˜‚
Hello πŸ‘‹

Shit happens when you don't use your brain wisely ..
 
Heh kumbe

Ni aibu bhana na pia yashapita ..

Sio kwa kuficha, I think he gave out full info maana hadi screenshots .

Mie Sina cha kusema zaidi .
Eeeeh taratibu bas dyadyaa, hivi alikupa nn kikubwaa had ukampa access ya kujua kila kitu kuhusu wee?

Unajua unanichanganyaa sana nikiwaza? Yaan kilikukuta kipii ukajilipua hvyoo??

 
Sio mkali mimi jamani πŸ˜‚πŸ˜‚
Hello πŸ‘‹

Shit happen when you don't use your brain wisely ..
Alafu siku hizi kingereza kingi kimetoka wapi mrembo?

Na kwa nini umebadili jina? Lile la mwanzo limekaa unyama sana kuliko hili asee!! Hili nakugananisha na kuzo wake cocastic ujue.
 
Eeeeh taratibu bas dyadyaa, hivi alikupa nn kikubwaa had ukampa access ya kujua kila kitu kuhusu wee?

Unajua unanichanganyaa sana nikiwaza? Yaan kilikukuta kipii ukajilipua hvyoo??

Hiyo access looh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hebu selfika bhana umbea utakuuaπŸ˜€
 
wee doktaaaa utanilipiaa au? Maana ubuyuu ni pesa siku hizi, hata Mange kimambi App tunalipia.

Kuhusu Tinsley muulize yeye si unamuona hapa, naamini atakupa in4 zote.

Kuhusu hawa wengine, tuaache kwan nakuitiaa watakuja kujibu wenyewee.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Unapenda hekaheka wewe
Unajua wakati naondoka online mwaka Jana Kuna mtu nilikutana nae siku Moja tukawa tunapiga stori,akaniambia unajua Uzi wa Selfika umefungiwa? Nadhani sababu ilikuwa hekaheka kama hizi.

Leo narudi Jf nakutana na hekaheka kama zile za mwanzo.
 
Uwe fourth official, utoage dkk za nyongezaa.
Wewe ! Mwambie huyo udugu wako asinitishe afu sitishiki kiboya mimi aje kumwaga hizo Siri zangu nimemruhusu!
Mimi nicreate Id mpya kisa yeye what for? Who is she ????????? Tumeshea nani ???? Humu ugomvi si mlisema sababu kuu ni kushea hogo haya Hii chuki ghafla bin vuu nimeshea nae hogo lipi?? Kama sio hayo Hii hatred yake ghafla imetokea wapi???
Undumilakuwili haujawahi kumuacha mtu salama awatishiege haohao sio mimi . Mimi sina sababu ya kumjia na I'd mpya Yani sijaona na siioniiiiiiii kwanza Hakunaaaaa anitolee wenge.

Aje amwage hizo Siri
 
Lemme just answer this
I'm so naive when it comes to love .
Nimemaliza πŸ˜…πŸ˜…
Eeeeh taratibu bas dyadyaa, hivi alikupa nn kikubwaa had ukampa access ya kujua kila kitu kuhusu wee?

Unajua unanichanganyaa sana nikiwaza? Yaan kilikukuta kipii ukajilipua hvyoo??

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…