Selfika na JF: Snap it. Show it

yaan hapo ndo unafeliii tin, pepo la umbea linakutokaje haraka na ghaflaa hiviii??

Hebu fanya kulazimisha li rudi mara 1, litupatie wambea ile kitu roho inapendaaa.
Hehee nishaombewa ni limetoka kabisa πŸ˜….

Nitakuwa najichoresha tu since it's all me .
I guess you understand how sensitive the issue is ,

pia I don't want to blame anyone on this issue.

Since I'm guilty ..
 
Ah sitaki kufukua mambo mie
Nisije chambwa Tena πŸ˜‚πŸ˜‚

Naishia hapo hapo tu .

Mimi niliingiwa na pepo la umbeya na limeshatoka tayari πŸ˜‚πŸ˜‚ .
Umbea kipajii aseee kama sio hobby yako bora kujiepusha! Nilisema huu Uzi mimi nikianza jibu tu lazima pasitoshe hapa hahahaha!

Nimekaa paleeee nasubiria hizo Siri zangu mpyaπŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡
 
@Lamomy

Huyu zamani alitumia Cute wife, ni wa mda kidg, ila alipokutana na mie nkamleta huku selfika ndo ikawa winja winja had now, lakini kutokana na mushkeki kdg I'd yake ya zaman ilipigwa ban ndefu na kuungwa kwa ingne tofauti ya mwingne, ko alivyorudi ili atumie ya mwanzo ikashindkan na lile jina tayar liko kwa mwingne, hvyo ndo yuko na hili.

aletuya

Huyu ni yule Tinsley, bhana bhana kilichotokea kuhusu huyu bintiii ni kisanga tupuuu, ndo unaonaa varangatiiii linatrend had leo, kwa kifupi ni aliyatimba au kuyakanyagaaa,


Ubuyuu zaidii utaujua kadri siku zinavyo endaa.
 
Hehee nishaombewa ni limetoka kabisa
.

Nitakuwa najichoresha tu since it's all me .
I guess you understand how sensitive the issue is ,

pia I don't want to blame anyone on this issue.

Since I'm guilty ..
Wee em funguka bhana, maana Rab alikua anatoa ubuyu kwa kuficha ficha, sasa wee ndo umalize kila kitu yaan.

 
umekunywa nini leo?
 
Wee em funguka bhana, maana Rab alikua anatoa ubuyu kwa kuficha ficha, sasa wee ndo umalize kila kitu yaan.

Heh kumbe πŸ˜‚πŸ˜‚
Ni aibu bhana na pia yashapita ..

Sio kwa kuficha, I think he gave out full info maana hadi screenshots .

Mie Sina cha kusema zaidi .
 
Asee!!

Kumbe lamomy ni cute wife!! Na aletuya ndiyo Tinsley? Ila mbona Tinsley alikuwa ni mdada Fulani hivi Hana baya na mtu? Why Leo amekuwa hivi,alafu naona Kawa mkali kama pilipili.

Huyo Lamomy namjua,ni mtata tangu enzi hizo,alafu Kuna jamaa mliyesema ni Nikki wa III( countryyard) naona ana ukaribu nae sana. Au ndiyo anaweka? Nipe habari Binti cheupe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…