Sahihi sana
Utaita maji mma kama Mimi
Namaliza kwa yaliyopita hapo chini
I apologize kwenye hayo maneno ikiwa nilikusema pia ..
Maana nilisoma huku siku nikaona nilikuwa naonea watu wivu kwenye vocha wanazopewa . Jamani samahani sana kwa hao watu pia .
Ila Jf ukiomba msamaha hivi unaonekana weak au unajitilisha huruma jamani wakati unafanya tu vile moyo wataka .