Selfika na JF: Snap it. Show it


Hahaa jamani wewe dada

Eeh Mimi siwezi maneno Yani ngoja niongee kwa kutulia .

Sio wababu bhana , hao wakaka ni vijana kabisa
Hayaa vijanaa tena wakaka, watajee haraka na sie tuwarukie, tukapate sate sauzand.
 
kivumbiiii leooo.
 
Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni


Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .
 
kuhusu mie watasema waooo.
Huo mda cna mbonaa, sio yeye mjep tyuuh, kuna wengine pia.

muache afunguke yeye mjep, mie mtazamajiiii.
 
Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa

Ila vibabu vina sifa yani kiss vinatoa sate whooooufff

Vijana ongezeni kasi vibabu vinashambulia sana karibu na goli lenu
mbavu zinauma kwa kuchekaaa.
 
Achana na haya mambo Tin cz hata mim pia husema watu tena kwa mabaya na mazuri. Sisi sote ni binadamu na wadhaifu.

Lakini kama umeamua kutojihusisha kwa sababu ya mtu unaemzidi akili ccy unakosea, raha jipe mwenyewe.
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....!

Uko na akili mingi sawa sis!


Ye akuje tu tuendelee kusemana iwe nyuma ya pazia iwe huku jukwaani mwisho wa siku mafuta yatajitenga na maji tu!
 
Hizi ids mpya siziamini kabisa sijui kwanini!!

Kama ni wewe tins uwe na amani tu mamy karibu sana tuendelee kuselfika!
Ids mpya ni nyingi sana sema huyo ni Tin kweli, Ila kuna zingine unaweza shangaa za makaka zetu zinawekewa picha za warembo😂😂😂😂😂😂
 
umekua Mpenjaaa uduguuuu? Mara hii?
Sikuweziiiiiiii
 
wee uduguuuu?? Nn hikii??
 
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....!

Uko na akili mingi sawa sis!


Ye akuje tu tuendelee kusemana iwe nyuma ya pazia iwe huku jukwaani mwisho wa siku mafuta atajitenga na maji tu!
Kabisa ccy yani ukisemwa, unasema, ukisema unasemwa kazi kwisha ccy😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…