Selfika na JF: Snap it. Show it

Lamomy

Ukikaa karibu na mie lazima ukose pumzi, pua yangu inabeba hewa yotee km tank la 5000 litres.




View attachment 2916247
😍😍😍😍😍 oyoooooo.!!
Jamani mtoto mkaree huyu.!! Mjep mahari iongezwee rangi ya mtume, udongo wa dubai, rangi ya pesa hii
Hili toto bila tanesco unamulikwa ndani…. Mtoto portable easy to carry πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹
Haya wale nyoko nyoko chuma mmekiona.???
Haya mkajambe week end imeisha kibabe 😍😍😍
 
Kha umbeya ndo siuwezi haha kifua Sina mie πŸ˜‚.

Asante sana

Ile I'd ya Waylen hata siikumbuki password na email pia .

Nimekuja kuadress hii issue na kuomba msamaha kwa Coca haswa .
 
uduguu taratibuu bas nawee.
Hugopii kufa kwa kukosa oxygen, usikae karibu na mie wallah.
 
Kha umbeya ndo siuwezi haha kifua Sina mie πŸ˜‚.

Asante sana

Ile I'd ya Waylen hata siikumbuki password na email pia .

Nimekuja kuadress hii issue na kuomba msamaha kwa Coca haswa .
Tumekuelewa mwaya kwa niaba ya wote japo mi hujanisema…. Kwanza sina cha kusemewa πŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Rudi bana km hivi tuendelee kupiga story, hayo ya nyuma yalishapita songa mbele km injili…

Ila tuache utani shogare ulijua kuwananga wenzio 😜
Mi bana fanya uwezavyo unipe majina ya hao watoa sate πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Njoo pm hapa usiwataje watakuvamia thawaa?? πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
na mie unijie kwa majaliwa unitajie.
 
uduguu taratibuu bas nawee.
Hugopii kufa kwa kukosa oxygen, usikae karibu na mie wallah.
Udugu wangu mkaree, mzuri halafu huringi wala nini?? Ndiomana Boss wa voucha anasuuza rungu uko lkn anarudi kwa bi mkubwa…. Anajua wangoni visu 😍😍😍
Pua nzuri hiyo mbona, lips mashallah!!
Awwww kunogile udugu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Una kipaji cha udalali
🀣
 
So sad 😒

Humu hapana niwachie jeifu yenu ... Nilikosea kama mtu na Maisha yangu humu kama member yameisha .

Nilingia kama guest mimi ndo nikaona haya tena nikaja Tena ..
 
So sad 😒

Humu hapana niwachie jeifu yenu ... Nilikosea kama mtu na Maisha yangu humu kama member yameisha .

Nilingia kama guest mimi ndo nikaona haya tena nikaja Tena ..
Acha uoga Tin rudi bana 😘😘😘
Mwenye jeiefu Max wengine wote wapangaji, hakuna kuogopa ww rudi…
Ningekuwa mimi ndio ww nawataja wote wanaotoa sate, na niliowananga nao wote nawananga live wajione… mwenye uchungu tuchambane. Mbwai mbwai hakuna kusurrender πŸ₯·πŸΏπŸ€ΊπŸ’£

Kwahiyo yule babu kweli alikukiss kwa sate kwenye rahumu, sijui inaandikwa hivo… hivi vi baby walker navyo vina majina magumu… aaarrrggggghhh maboss wa sate badilisheni magari mnatupa shida wambea kuyaandika, vichwa vinauma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sorry kwa usumbufu wote uliopata
Hatukuwahi kuwa na mahusiano Wala chochote zaidi ya urafiki .

Na hukuwahi onesha nia yoyote .. sorry, I apologize for dragging you into this matter .
 
Nakazia shem aseme ukweli
Tushamzuia coca mara nyingi kubeba mabegi aondoke kwasababu yake 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…