Basi bhana ninamuda mrefu sana sijajipikilisha nyumban πtangu juzi nasema nikitulia nitapika maana Nina hamu sana ya kula chakula nilichopika mwenyewe.π³kila siku ni mbanano sasa leo nikasema hata iwe saa saba ndio narudi nyumbani ni lazima nipike hakuna namnaπ
Na hiki ndicho ninachokipika muda huuπ₯°
Karibuni wanaselfika tule pamoja maana ninauhakika asilia buku nikashamaliza kupika hamu itakuwa imepotea π
View attachment 2912635