Udugu anza nipate samaree za kuwapa ambao hawatokuwa active
Zakayo watiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ππππππsasa ulisikia yeye katajwa vipi? Pimbi na kijeba.
Ila watu wana dhambiiii. Eti zakayo wa kike.
Kabeesaaa π€ !uduguuu em kwani huu uzi hautakiwii kupoaa kabisaaa.
Yaan modes hawatakiwi kukaa bila kazi, lazima tuwape mikiki mikiki.
Wana raha gani, ziara yao ya chuga ishaisha, sahivi wawe buzzy na kazi hapa jamvini.
Eti nini?? BK ipi unamaanisha??? Hii ya kwa bibi au Bukoba???
Humu wapole ndio shindikanaaaa
Akuje akuje haraka sanaaa,Piga kelele kwa southern highlands weweeeee.!!!!
Hatuna show mbofu mbofu ni kupigwa ndoa tyuuu!!! St Anne wera a yuu utuimbie Tumoghele
Zakayo watiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
JF uzi wa selfika waanze kulipisha km Mange app sasa naona ishakuwa ubuyu wa moto
πππππ treeeeeenaaaaahh ππππAkuje akuje haraka sanaaa,
Unajiona mzuriii, na unapendwaa afu wanaolewa wengineee.
Wee hebu njoo tukutakasee upate ndoa, mbona leo mood ya ugomvi inanijiaaa. Khaaaah
πππππ Nouma sanatena kuanzia 10k, sio buku buku km za mpare wa California.
treeeeeenaaaaahh
Aje hapa tuhangaike nayee, yuwapi eee mke mwenza yuwapi eeee
Tena motooo haswaaaa,Nouma sana
Walipie Forum ishakuwa na ubuyu wa moto moto
ππππ Ushaanza kuchachuka uduguu mume anauma poleee sana π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈTena wakavuu haswaaaa,
Na sate sauzand alipokeaa, na kushukuruu juu.
Wee Mjep hebu njooo hapaa. Unabaki huko kwa amani gani uliyo nayooo?
ππππ Weeehh kumbe?? Wengine wepi hao tenaa???wake wenza wako wengii humuu.
Maana wanaume wa humu, kila sketi inayolegea wao wanaivua kabisaaaa
ππππ Kwahiyo udugu mume wako na kunangwa juu?? Nyie watu wabaya!!!Tena motooo haswaaaa,
Ushaanza kuchachuka uduguu mume anauma poleee sana
Mjep njoo unaitwa shemeji yani mdogo angu anapondwa ww umetulia??
Hebu kwanza tujibu hiyo sate na papa ulikula??
Tushapandisha majini voooh hebu sema haraka
Ushapitwa kwa kweli πππππππππPoapoa ankol ukitaka kutupia uniite kwanza nisije kupitwa
Weeehh kumbe?? Wengine wepi hao tenaa???
Walete tuwasuuze hatutaki kushare sisi
Anayetaka kushare aende kwa dada wa taifa akashee life story yake alipwe mkwanja
ππππ Kwetu tunalima viazi vya chips halafu ndo mtuletee mikungu ya ndizi kweli???apeleke mikungu ya ndizi huko makete kwani shingapi
Na usipofungwa, hautakiwiii kupoaaa huu, yatakua matumizi mabaya ya uzi.Huu uzi usipofungwa tena mniite
ππππ Kile chama tawala na wale waasi??
Si watu wana wake wenzaoo humuuu, hujuii tenaa uduguuu aaaah wee.