Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,221
- 183,074
Nyuma haionekaniSisi tunataka kuona hayo marinda ya nyuma ai meean sketi nzima😁🏃🏽♂️😁
Nyuma haionekaniSisi tunataka kuona hayo marinda ya nyuma ai meean sketi nzima😁🏃🏽♂️😁
Kamera wapi wewe ni photogenic madam kila nguo kila pozi linakutoa muahhh [emoji7]Asante mkuu Kamera inanibeba. Nyuma ni marinda kama ilivo hapo mbele
I will buy for my wizoo Usijareee kabesaaa 😊😊That bei is crazy high,ain't in my budget😅....labda nikiokota kwa barabara.
"Wizo" 🤣,atavaa tu .
So Beautiful 😘😘😘!We mke mwenzangu Lamomy selfika View attachment 2910362
Mwehh ungejua hapo zinapigwa foto kama 50 then nachagua moja yenye unafuuu😁😁😁🤠🤠🤠!Kamera wapi wewe ni photogenic madam kila nguo kila pozi linakutoa muahhh [emoji7]
Unywele wote huu ukaamua kuukata 😂We mke mwenzangu Lamomy selfika View attachment 2910362
[emoji28] endelea kungojaMi nangoja ageuke[emoji16]
Vibaya hivooo 😊[emoji28] endelea kungoja
Ntageuka ukitupia yako bila emoji [emoji28]So Beautiful [emoji8][emoji8][emoji8]!
Una kichwa kizuri hakina chogo [emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Geuka kwa mbele dearr!
Aah jirani nilichoka tu[emoji28]Unywele wote huu ukaamua kuukata [emoji23]
Safi rafiki,na sisi jinsia ya kiume tuweke mitindo yetu ya nywele.We mke mwenzangu Lamomy selfika View attachment 2910362
Mbona wadada wazuri mnataka kutupa mhaho tena😁😁😁[emoji28] endelea kungoja
Vale Vale umeanza ukorofi lini lakini lol naked tena lol😁😁😁!Ntageuka ukitupia yako bila emoji [emoji28]
Hahaaa kila nikikuona nasikiaWakishua mnaenda kuangalia mito😁😁😁
Tutafute hela kwa kweli tupate wasaa wa kuchezea maji nasisi😁
5 zitatosha rafiki,rangi chagua nzuri.I will buy for my wizoo Usijareee kabesaaa 😊😊
Unataka Ngapi??? Na colour ya aje unaprefer???
Safi rafiki,na sisi jinsia ya kiume tuweke mitindo yetu ya nywele.
Nitangulie?
Limeisha hilooo 😁! Kesho nakutumia Delivery5 zitatosha rafiki,rangi chagua nzuri.
Sijakuelewa hayke maana yake nn au umenifananishaHahaaa kila nikikuona nasikia
“Hayke hayke hayke hayke
Hayke hayke hayke
Pesa ndogo tu kufika hizo waterfall 🤣🤣
Sijakufananisha we mjukuu wa amapiano. Au hayke hujui iko ktk piano la mnike?Sijakuelewa hayke maana yake nn au umenifananisha
Anyway wadada wazuri kama wewe tunakaza kichwa tunakubali tumeelewa
Nimepokea mama😂😂😂😂