Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bahati yako siwezi kusema mtu hapa,ningekusema leo๐Ÿคฃ.

Wishing you a slammin' Valentine's day mama naniiii wa forest .... anakusalimia sana.
Ww hebu tulia.!!
Mbona unaanza kumix mambo ww?? Ntakuitia wajukuu zake Abood ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ww hebu tulia.!!
Mbona unaanza kumix mambo ww?? Ntakitia wajukuu zake Abood ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nilikuwa naye wiki 1 iliyopita,tulipata picha ya kumbukumbu.

Hao wajukuu wapo duniani?waambie "mgiriki" nawasalimia kama watanikumbuka.
 
Nilikuwa naye wiki 1 iliyopita,tulipata picha ya kumbukumbu.

Hao wajukuu wapo duniani?waambie "mgiriki" nawasalimia kama watanikumbuka.
Mxiewwwww!! Itume nione km yy kweli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sema nili left kitambo kwenye lile group lao la WhatsApp, ntamtafuta shostingo wangu mmoja wa kilakala nimuulizie
 
Mxiewwwww!! Itume nione km yy kweli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sema nili left kitambo kwenye lile group lao la WhatsApp, ntamtafuta shostingo wangu mmoja wa kilakala nimuulizie
Nitatuma ila si hapa ,kwenye thread nyingine na nitakuita.

Namfahamu huyo,jirani kilakala kwa winga.๐Ÿคฃ
 
Miaka yote jina nilikumbuke?but the shorty was pint sized na alikuwa mkorofi,anaongea sana. I hope sasa amekuwa mumama or bibi.
๐Ÿคฃ
Unajitahidi mwenyewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huyo sio yy, sema ntakufungulia code siku moja nikiwa na vibe la Margarita shots ๐Ÿธ

Btw mbona leo sioni mkibebishana na wifi ๐Ÿ˜œ
 
Unajitahidi mwenyewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huyo sio yy, sema ntakufungulia code siku moja nikiwa na vibe la Margarita shots ๐Ÿธ

Btw mbona leo sioni mkibebishana na wifi ๐Ÿ˜œ
Kaniambia atakuwa kwa maombi siku nzima.
 
Back
Top Bottom