😃Hii korido ikianzaga maneno🤣
😃Hii korido ikianzaga maneno🤣
Ulisema unaenda shimo aka creater. Ulifanikiwa?You’re a good guider.
Bahati yako siwezi kusema mtu hapa,ningekusema leo🤣.Huyo atakuwa sio mimi aisee!! 😂😂😂
😆😆 mbona koridoHii korido ikianzaga maneno🤣
Ww hebu tulia.!!Bahati yako siwezi kusema mtu hapa,ningekusema leo🤣.
Wishing you a slammin' Valentine's day mama naniiii wa forest .... anakusalimia sana.
Yap nilifanikiwa ndio maana nimesema hapo wewe ni guider mzuri. . Nilifata ushauri wako wa zile sehemu ulizopendekeza, ni 🔥 sana. Ipo siku nitajizima data niweke 📸 hapa ujionee. 🙏Ulisema unaenda shimo aka creater. Ulifanikiwa?
Nilikuwa naye wiki 1 iliyopita,tulipata picha ya kumbukumbu.Ww hebu tulia.!!
Mbona unaanza kumix mambo ww?? Ntakitia wajukuu zake Abood 😂😂😂😂
Wanakujaga wanakiwasha korido inafungwa😆😆 mbona korido
Soda unatumia?
Reason behind? Ushawahi mshuhudia mgonjwa wa kisukari? Au tu ni unaamua kuweka afya fit zaidiUsed to, now hapana
Mxiewwwww!! Itume nione km yy kweli 😂😂😂Nilikuwa naye wiki 1 iliyopita,tulipata picha ya kumbukumbu.
Hao wajukuu wapo duniani?waambie "mgiriki" nawasalimia kama watanikumbuka.
Inapendeza. Live ur life with full of sweet, remarkable, great & different experiences.Yap nilifanikiwa ndio maana nimesema hapo wewe ni guider mzuri. . Nilifata ushauri wako wa zile sehemu ulizopendekeza, ni 🔥 sana. Ipo siku nitajizima data niweke 📸 hapa ujionee. 🙏
Reason behind? Ushawahi mshuhudia mgonjwa wa kisukari? Au tu ni unaamua kuweka afya fit zaidi
Nitatuma ila si hapa ,kwenye thread nyingine na nitakuita.Mxiewwwww!! Itume nione km yy kweli 😂😂😂
Sema nili left kitambo kwenye lile group lao la WhatsApp, ntamtafuta shostingo wangu mmoja wa kilakala nimuulizie
😂😂😂 Ila sina uhakikaNitatuma ila si hapa ,kwenye thread nyingine na nitakuita.
Namfahamu huyo,jirani kilakala kwa winga.🤣
My life is a story. Thank you for taking part in it. 🙏Inapendeza. Live ur life with full of sweet, remarkable, great & different experiences.
........si mchezoView attachment 2903665
Nkamu ni heri nilale njaa ila ngozi itulie[emoji3] haya uanze vaa socks na kulala nazo
WaoView attachment 2903665
Nkamu ni heri nilale njaa ila ngozi itulie[emoji3] haya uanze vaa socks na kulala nazo
😂😂😂 Ila sina uhakika
Anaitwa nani km kweli unamjua.??
Miaka yote jina nilikumbuke?but the shorty was pint sized na alikuwa mkorofi,anaongea sana. I hope sasa amekuwa mumama or bibi.😂😂😂 Ila sina uhakika
Anaitwa nani km kweli unamjua.??
Unajitahidi mwenyewe 😂😂😂😂Miaka yote jina nilikumbuke?but the shorty was pint sized na alikuwa mkorofi,anaongea sana. I hope sasa amekuwa mumama or bibi.
🤣