Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,682
- 208,865
Hahaaa kila la kheri kwenu 🥂Maboxi yalikuwa mengi sio powa lazima alale usingizi mzito sana😁😂🤣
Hahaaa kila la kheri kwenu 🥂Maboxi yalikuwa mengi sio powa lazima alale usingizi mzito sana😁😂🤣
Hahahahaha...kuna mtu anawatafuta nimeona kwa mbali dalili ..ngoja tuoneHumu ndani sijui kunakuwaga na mapepo?? Vinaanzaga hivi hivi mpk uzi unafungwa 😂😂😂
Wasalimie sana njiro hapoHahaaa kila la kheri kwenu 🥂
Piazza Giuseppe Garibaldi, 15th floor.
😁Yani ww siku wakikujua kwa id yako maarufu watu watacheka sana, pole penseli…………..!!!
😂😁🤣🤣Yani ww siku wakikujua kwa id yako maarufu watu watacheka sana, pole penseli…………..!!!
ZitawafikiaWasalimie sana njiro hapo
Sina hata picha, nipo hapa kushangaa uumbaji wa Mungu.Tupia picha tuone miguuu
Ustufanyie hivoo LamomySina hata picha, nipo hapa kushangaa uumbaji wa Mungu.
Hapo ni huko Meru kwa kina mshamba_hachekwiUkiondoa boobs hiyo sehemu ni wapi Depal
Nakuja DBRC hapo Njiro bossHapo ni huko Meru kwa kina mshamba_hachekwi
Nilisema huu uzi umegeuzwa wa watu wenye mabifu yao, hauwezi kutulia 😂😂😂Hahahahaha...kuna mtu anawatafuta nimeona kwa mbali dalili ..ngoja tuone
Please naomba details kwa kifupi panaitwaje na mtu anafikaje?Hapo ni huko Meru kwa kina mshamba_hachekwi
Hahahahahaha..ngoja tuone sie tunaofanya OSINT tulishaona hilo siku nyingiNilisema huu uzi umegeuzwa wa watu wenye mabifu yao, hauwezi kutulia 😂😂😂
Nipatie ruhusa niweke yako kwa niaba yako.Sina picha mimi 😂😂
Eeeh kumekuchaNna sura ngumu nisije kukuharibia siku yako hapa 😂😂😂
Hahahaaaa afu wewe!! Sahau basiNakuja DBRC hapo Njiro boss