Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,565
Heri umekuja aisee useme ukweliMmhh mbona kama nimesahau hivi Hebu nikumbushe kidogo 😁😁
We usitudanganye NkamuHahaha naona wadada wote memories zimekata...
Huko nyuma nyuma zipo Jadda, bahati mbaya siwezi back search...
Hahaha hata hivyo siyo Kesi waweza tubless tu na nyingine 😃😃Hahaha naona wadada wote memories zimekata...
Huko nyuma nyuma zipo Jadda, bahati mbaya siwezi back search...
We usitudanganye Nkamu
Mimi huwa sipotezi kumbukumbu kabisa.
Huu uzi ulikuwa mzuri sana kipindi unaanza, nakumbuka sana... Mma hukuweka, uli mmyasi
Hahaha hata hivyo siyo Kesi waweza tubless tu na nyingine 😃😃
Mwomumo Nkamu 😂
Nkamu nipo naishushia na soda hiyo picha😂😂
Nikimaliza soda,nakupokonya kahawa ile umeshika kwa kikombe.
Mimi bwana lugha yenu hii siijui sana inanipa shida,,, ingekuwa ya kwangu hapa ningetiririka sana.
Naam 😍😍 🥂🥂
Naam 😍😍 🥂🥂
🤣🤣🤣🤣Hahaha unapeeenda mwenyewe
Wasalimie dar es salaamSafi tu mkuu
Mbombo ngafu kusimbaUnajitahidi sana, ninasikia yote lakini siwezi kujibu au kuandika vyote...
Nipo pale 👉🏿😂Nitatafuta taratibu na nitaweka hapa...
Hakuna kabisa dawa ya makosaUsiku mwema jmn
Naomba parachichiHakuna kabisa dawa ya makosa
Yakututakasa
Nothing but the blood of Jesus 🤲
Sawa zimefika mkuuWasalimie dar es salaam
Njoo uchume MkuuNaomba parachichi