Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,346
- 17,670
Umeanza pombe lini we dogo?Yenye kilevi
Umeanza pombe lini we dogo?Yenye kilevi
Na bangi pia kwa mbaali napuliza😂Umeanza pombe lini we dogo?
Kwa nini mkuu
Siku ukijidanganya ukajaribu unakamatiwa uyole huko ukiitafuta tukuyu kwa mguu😂Na bangi pia kwa mbaali napuliza😂
Sukari ni bei kuliko bia
Acha tunywe bia tu
Nikajua mwaka huu utaacha🤦🏿♀️Yes mchumba, mzima lkn?
😀🙌👍Sikuwa nafahamu kama umeelewa alichoandika hapo...
Usijareee nikiweka ntakuitaHii picha ilikuwa inapanda hadi juu juu hivi kidogo, hebu weka ile yenyewe sasa...
Usijareee nikiweka ntakuitaHii picha ilikuwa inapanda hadi juu juu hivi kidogo, hebu weka ile yenyewe sasa...
Pombe mbona kitambo sana nazikataSiku ukijidanganya ukajaribu unakamatiwa uyole huko ukiitafuta tukuyu kwa mguu😂
HahahahaHiyo ina muda wa kumuandalia baby wako. Na akiiona tu anajua message sent and delivery 😊😀
MjaniPombe mbona kitambo sana nazikata
Halafu silewi hata
Hahahaha
Haya pata moja hiyo.Na bangi pia kwa mbaali napuliza😂
Sukari ni bei kuliko bia
Acha tunywe bia tu
Hii nakunywa kama maji tu 😂Haya pata moja hiyo.View attachment 2899839
Basi sikuwezi vipi kisungura?Hii nakunywa kama maji tu 😂
Mtukutu huyuSikuwa nafahamu kama umeelewa alichoandika hapo...
Haya ndiyo mambo sasa.
Vyote naswagaBasi sikuwezi vipi kisungura?