Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Umecopy wapi? 😂Kyala ulinamaka, ngana nongwa na ugwe
Umecopy wapi? 😂Kyala ulinamaka, ngana nongwa na ugwe
Amecopy kwa mtu huyoKumbe ni mwaisaaa wewe😅
Hii cake nilipanga nimpe zawadi Tayana-wog kipindi cha bday yake nikala ban 😂😂😂Ndiyo
Unanidai mpenzi 🥰
Nasubiri tu ukohoe nikuletee
MweeHii cake nilipanga nimpe zawadi Tayana-wog kipindi cha bday yake nikala ban 😂😂😂
Joannah sisy naomba nikupe cake ya valentine 😍😍😍
Anne mtengenezee da Joa cake
Shemeji hana mbambamba😂😂😂 Mfanyabiashara unajua kujipigia debe.
Yes, Kuna nyuzi zao humu 🤣🙌Wale wa get together 🤣🤣🤣
Wale nasikia ndo walikuwa balaa kwa kupelekeana moto mtafute Madame B akwambie 😂😂😂
MmmhAmecopy kwa mtu huyo
Jmn cake haioziHii cake nilipanga nimpe zawadi Tayana-wog kipindi cha bday yake nikala ban 😂😂😂
Joannah sisy naomba nikupe cake ya valentine 😍😍😍
Anne mtengenezee da Joa cake
Shikilia hapohapo wizoJmn cake haiozi
Ungetoa oda Ingenifikia tu!
Nalitaka cake yangu pls😅
Maadamu alidhamiria anunue tu ,hakuna namna wizooMwee
Kwahiyo Wizo wangu ameikosa!
Aipate tu hivyohivyo, hakuna namna.. na Mtumishi Joannah apate pia,, uzuri hamna mbambamba matajiri😂
Joannah una keki yako kwangu.
NdiooooShikilia hapohapo wizo
Hahahahaha..tulikosa selfie yako ikabidi tuufungulie u selfike kdgEhee huu uzi ulifunguliwa
Nisaidie kushangaa👀🙄Mmmh
How
😂😂😂😂 Cake ya pongezi ya kupata mchumba?? Mimi yule mchumba ake nimemkataa ni wizzy ndio anakomalia yule jamaa amchukue mdogo angu tayanaShemeji hana mbambamba
Ukikohoa tu, wiii naye huyo anapata cake, iwe ya Pongezi ya kupata mchumba.
😂😂😂😂 Nilipanga niku surprise si ndo ikatokea ban aiseee!!Jmn cake haiozi
Ungetoa oda Ingenifikia tu!
Nalitaka cake yangu pls😅
😂😂😂😂 Cake ya pongezi ya kupata mchumba?? Mimi yule mchumba ake nimemkataa ni wizzy ndio anakomalia yule jamaa amchukue mdogo angu tayana