Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha Dar Hotwire enzi za ASL? (age, sex, location)...

Nimechat sana tu mzee baba, yahoo messanger, MSN messanger, Hi5 etc...piga sana simu za bure Global 7 n.k

Unapanga na mchuchu mida unaingia internet cafè na yeye awepo the other side ili mchat kwa kuexchange email...

Nilikuwa na mchuchu wangu binti mmoja mashallah sana Koku.... Tibaijuka (ana undugu na mama wa UN) wakati huo yupo nje ya mipaka, alijua sana kunifanya niwe mwenyeji wa cafè...
Haha Dar 🔥wire ilifanya nikapata demu perfect vision.
 
Nimeona hiyo lacoste...
Nikakumbuka dada mmoja alipelekwa kuosha macho bungani, sasa akawa anaona wenzake wanaongea kizungu nae akatamani asionekane hajui. Akakumbuka kuna nguo aliona ina label imeandikwa lacoste na picha ya mamba🤣

Akasema kwa nguvu mbele ya watu, "baby look this pool is full of lacoste " 😃
 
Nimeona hiyo lacoste...
Nikakumbuka dada mmoja alipelekwa kuosha macho bungani, sasa akawa anaona wenzake wanaongea kizungu nae akatamani asionekane hajui. Akakumbuka kuna nguo aliona ina label imeandikwa lacoste na picha ya mamba🤣

Akasema kwa nguvu mbele ya watu, "baby look this pool is full of lacoste " 😃
😂😁🤣🤣
 
  • Thanks
Reactions: 511
Nimeona hiyo lacoste...
Nikakumbuka dada mmoja alipelekwa kuosha macho bungani, sasa akawa anaona wenzake wanaongea kizungu nae akatamani asionekane hajui. Akakumbuka kuna nguo aliona ina label imeandikwa lacoste na picha ya mamba🤣

Akasema kwa nguvu mbele ya watu, "baby look this pool is full of lacoste " 😃

Hahahaha....
 
Hahah ulikuwa unatafuta nini huko Tina 😁?
SI unajua zamani zile ,kufahamiana kiasi
(Though sijawahi jutia kwakweli kufahamiana na watu kitambo kile)
.....nilishangaa mtu anani txt wasap,kajitambulisha!

Akasema Wana group la watu wa hapa,wanasaidiana,etc

Nikasema no !
 
Mwomumo Nkamu 😂

Nkamu nipo naishushia na soda hiyo picha😂😂
Nikimaliza soda,nakupokonya kahawa ile umeshika kwa kikombe.

Mimi bwana lugha yenu hii siijui sana inanipa shida,,, ingekuwa ya kwangu hapa ningetiririka sana.


Hahah nasoma ninaelewa, lakini siwezi andika misamiati migimu hivyo khaaa!

Aseee une nka kalumyana, ndi mnyambala nkamu...

Akapikya hako usishie kulila na kasokera, kakupeghe nu busingizi n'yafu...
 

Attachments

  • IMG_20240210_201844_052.jpg
    IMG_20240210_201844_052.jpg
    660.2 KB · Views: 6
Back
Top Bottom