Kweli mhenga 😀 nilikuwa nafanyia ufisi wangu pale maktaba ya taifa, nyenye ile internet cafe yao😀Hahaha Dar Hotwire enzi za ASL? (age, sex, location)
Kweli mhenga 😀 nilikuwa nafanyia ufisi wangu pale maktaba ya taifa, nyenye ile internet cafe yao😀Hahaha Dar Hotwire enzi za ASL? (age, sex, location)
Haha Dar 🔥wire ilifanya nikapata demu perfect vision.Hahaha Dar Hotwire enzi za ASL? (age, sex, location)...
Nimechat sana tu mzee baba, yahoo messanger, MSN messanger, Hi5 etc...piga sana simu za bure Global 7 n.k
Unapanga na mchuchu mida unaingia internet cafè na yeye awepo the other side ili mchat kwa kuexchange email...
Nilikuwa na mchuchu wangu binti mmoja mashallah sana Koku.... Tibaijuka (ana undugu na mama wa UN) wakati huo yupo nje ya mipaka, alijua sana kunifanya niwe mwenyeji wa cafè...
Nimeona hiyo lacoste...
Kombucha ni nini?Kombucha? 😳
Hivi pado ipo hiiperfect vision.
😂😁🤣🤣Nimeona hiyo lacoste...
Nikakumbuka dada mmoja alipelekwa kuosha macho bungani, sasa akawa anaona wenzake wanaongea kizungu nae akatamani asionekane hajui. Akakumbuka kuna nguo aliona ina label imeandikwa lacoste na picha ya mamba🤣
Akasema kwa nguvu mbele ya watu, "baby look this pool is full of lacoste " 😃
Jadda mamboMmhh mbona kama nimesahau hivi Hebu nikumbushe kidogo 😁😁
Sijui kama bado ipo.Hivi pado ipo hii
Kuna kipindi ilikua na vyuma balaa.Sijui kama bado ipo.
Mmhh mbona kama nimesahau hivi Hebu nikumbushe kidogo 😁😁
Nimeona hiyo lacoste...
Nikakumbuka dada mmoja alipelekwa kuosha macho bungani, sasa akawa anaona wenzake wanaongea kizungu nae akatamani asionekane hajui. Akakumbuka kuna nguo aliona ina label imeandikwa lacoste na picha ya mamba🤣
Akasema kwa nguvu mbele ya watu, "baby look this pool is full of lacoste " 😃
Nimekataa 2 groups za wasapNaam mkuu,
Isipokuwa hapa kati kuna rika fulani lilivamia JF hapo, ikitokea wamemjua mtu/watu basi wataanza kupiga umbea PM, kufukunyua maisha binafsi ya watu na hata kuanzisha groups za whatsapp...
Nimekataa 2 groups za wasap
Japo Zina ma legend ila ,mmhh
PoleeeMiss u cute..Kuna muda ninakuwa na vihekaheka mpaka nashindwa kutype
SI unajua zamani zile ,kufahamiana kiasiHahah ulikuwa unatafuta nini huko Tina 😁?
Hahah nasoma ninaelewa, lakini siwezi andika misamiati migimu hivyo khaaa!
Aseee une nka kalumyana, ndi mnyambala nkamu...
Akapikya hako usishie kulila na kasokera, kakupeghe nu busingizi n'yafu...
Asante mpenziPoleee
😍😍