Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Not real 😊...

Kuna picha nyingi sana niliweka zamani uzi ulipoanza, utakuwa umesahau, nyingi za mwanzo utaona viatu na perfumes, na mbili au tatu niliweka masked face ikiwa grayscaled kama hivi...

Baadaye nikawaachia uzi nikaaga kabisa, nikaondoka na mamsapu wangu Sakayo...

Then, hii ni ya pili uzi tangu ulipofufuliwa upya na Active awamu hii...
Nina kumbukumbu sana aisee
Ya kwako hujawahi weka..ndio leo

Mrudishe dada yetu.
 
Wa zamani ndo mimi sasa
Hahah hujawahi ona sio kwamba sijawahi weka, wale wadau wa zamani kama Mahondaw Jadda watakuwa wanakumbuka...

Sakayo 🤔🤔🤔😊😊😊, nisimjibie kama akiona mention hiyo juu atajibu...

Wengine wamekuja baadaye sana.

Ngoja nirewind kumbukumbu zangu japo wewe kwenye kumbukumbu zangu haupo kabisa...anyway,itakuwa nazeeka sasa.
 
Back
Top Bottom