Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,299
Unatuweka ujue nataka nikapike...Sawa Hazard...
Inakuja...usitoke hapa
Unatuweka ujue nataka nikapike...Sawa Hazard...
Inakuja...usitoke hapa
bia yenyewe sana hii
Mm huwa ngumu kupigwa ban, sababu huwa natumia tafsida😂Kaa Kwa kutulia uone picha za mishangazi 🤣🤣🤣
Ukileta jeuri tunaku report
hahahahaSema mm kama kawaida naomba nitoe maoni:
- Tatizo kubwa nililoliona nilipoingia huku ni unafki, nitaomba nikae chumba cha VAR nikiona kuna dalili ya unafki niiseme haraka wazi
- Pili watu kusema kweli wapo so desparate na kujamiiana, kikeni na kiumeni kote moto. Hapa ndio fitna na majungu vinaanzaga
- Waoga, hapa wanaume wenzangu zaidi huku mtu anampenqda kweli mtu flani Ila kuna kuogopana Sana, njia inatumika ni utani. Utaskia "huyu baby wangu", au nikae Mimi, kidogo anajistukia aah namtania bana na kujichekesha sana. Wacha huo ujinga, Hakuna cha utani wala nn anamaanisha kweli, Ila muoga.
Nimekumis tupia utupe umotomoto tuanze shughuli za jikoni...
Santo sana rafiki nafurahi kukuona piaaahh haya do the needful kwanzaa kitambo sana sijakuona walaikweli nimekaa mda mrefu bila kuingia..tag imerudiii hahaha mic u bidada
Story fupi fupi picha kwawingi Kantri akee Lamama!Sema mm kama kawaida naomba nitoe maoni:
- Tatizo kubwa nililoliona nilipoingia huku ni unafki, nitaomba nikae chumba cha VAR nikiona kuna dalili ya unafki niiseme haraka wazi
- Pili watu kusema kweli wapo so desparate na kujamiiana, kikeni na kiumeni kote moto. Hapa ndio fitna na majungu vinaanzaga
- Waoga, hapa wanaume wenzangu zaidi huku mtu anampenqda kweli mtu flani Ila kuna kuogopana Sana, njia inatumika ni utani. Utaskia "huyu baby wangu", au nikae Mimi, kidogo anajistukia aah namtania bana na kujichekesha sana. Wacha huo ujinga, Hakuna cha utani wala nn anamaanisha kweli, Ila muoga.
HahahahahaMakiwendo oooooo fanya basi jamani ni like niondoke zangu kabla uzi haujachafuliwa...
Nimekudaka kwenye VAR huu ndio unafki, uzi umerudi kila aliyekosea atajua pa kujisahihisha, hiyo kabla haujachafuliwa ni ww kutaka kujifanya smart sanaMakiwendo oooooo fanya basi jamani ni like niondoke zangu kabla uzi haujachafuliwa...
Chui yenyewe mkuu.bia yenyewe sana hii
Hahahaa kazi ipo...Nimekudaka kwenye VAR huu ndio unafki, uzi umerudi kila aliyekosea atajua pa kujisahihisha, hiyo kabla haujachafuliwa ni ww kutaka kujifanya smart sana
Wabheja sana sisHaya sisy akee...wanawake kazi tuliyoagizwa na Mungu ni hyo tuu ya utii....
Lenzi mbonyeo 🤠🤠🤠🤠🤠🤣Hahahaa kazi ipo...
Rekebisha VAR yako...ina lenzi mbonyeo
hizo unapiga 8..halafu unasuuza na ka gordons au sminoff vodka alooo dunia yote unaona ni mafala tu 😂 😂 😂Chui yenyewe mkuu.
Take a bite out of life.