National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
Umesoma melezo ya Mwachiluwi lakini mzee baba.. Tuwe wakiume.. hizi sarakasi tuachane nazo..Basi sawa, wamechonga chats wakusingizie bro.
Umesoma melezo ya Mwachiluwi lakini mzee baba.. Tuwe wakiume.. hizi sarakasi tuachane nazo..Basi sawa, wamechonga chats wakusingizie bro.
Bro attention seeker uta waweza🤣😂🤒Funguka mzee.. kila kitu kiwe wazi...
Namsubiri Mwachiluwi hapaaa.. aje atoe maelezo.. vizuri.... nime mdiss mwanamke gani wa JF humu.. na ili iweje, zaidi ya kunipa namba za mademu tu huko ambao hata siku anagika nao.. na hiyo tulichata nae hata public... aje awataje hapa ambao nime wa diss..
Mkuu humu tupo watu wa aina tofauti, wenye tabia na malezi tofauti hivyo tuchukuliane kama tulivyo. Hata mitaani kuna wanaume wambea pia ni jinsi tuu ya kujua unaishije nao, humu JF wengi tunainteract sana ila hatujuani basi tabia zao ( umbea) sizikupe shida awe wa kike au wa kiume.Mm nilikua namjibu mtu mwingine, hujaona kavamia na kuanza kuleta ujinga?
Wakipiga umbea ni sawa? Kumbuka hawa ni wanaume
Namsikilizia Mwachiluwi aje aseme nani na nani li mdisiiii ... kumbe kuna mambo yanaendelea huko back stage 😅😅Bro attention seeker uta waweza🤣😂🤒
Country jaribu kuwa mstaarabu kidogo kma umesikia kitu kuhusu mtu kuliko kukileta hadhari thibitisha kwaza unaposema sisi wambea sawa mm nimekubali mkuwa mbeya je wewe iko unachokifanya ni nini? Kuanza kutafuta habari za wanaume wenzio?sawa bro yaishe, wala tusifike mbali sana. Lakini ukweli unaujua
HahahahahaHabari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Sawa kabisaHabari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Mkuu wafungulieni vifungo baadhi ya watu hawakuwa na nia mbaya.Habari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Kwa hiyo uzi umezinduliwa upya?Sawa kabisa
Dah kwahiyo mwanangu umeamua kuwasamehe au sio mkubwa wa kazi ?Habari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Umefunguliwa.Kwa hiyo uzi umezinduliwa upya?
Kama uzi umefunguliwa basi wafungulieni na wafungwa wa uziHabari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Kweli safari ya Arusha imerudi na mema 😅Habari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Hivi uliwahi ku selfikaUmefunguliwa.
Kuelekea V DayAloooo!
Wenye nchi wametoa msamaha 😁😁
Ime wabadilishaKweli safari ya Arusha imerudi na mema 😅
Full maupendo na amaniKuelekea V Day
Hahahahahaha ngoja tuoneFull maupendo na amani