Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Funguka mzee.. kila kitu kiwe wazi...

Namsubiri Mwachiluwi hapaaa.. aje atoe maelezo.. vizuri.... nime mdiss mwanamke gani wa JF humu.. na ili iweje, zaidi ya kunipa namba za mademu tu huko ambao hata siku anagika nao.. na hiyo tulichata nae hata public... aje awataje hapa ambao nime wa diss..
Bro attention seeker uta waweza🤣😂🤒
 
Mm nilikua namjibu mtu mwingine, hujaona kavamia na kuanza kuleta ujinga?

Wakipiga umbea ni sawa? Kumbuka hawa ni wanaume
Mkuu humu tupo watu wa aina tofauti, wenye tabia na malezi tofauti hivyo tuchukuliane kama tulivyo. Hata mitaani kuna wanaume wambea pia ni jinsi tuu ya kujua unaishije nao, humu JF wengi tunainteract sana ila hatujuani basi tabia zao ( umbea) sizikupe shida awe wa kike au wa kiume.

On other side wadada wa humu kinachofanya wapondwe sana na kusemwa ni vile wanajirahisha imagine dada mmoja kashakutana na wanaume wa JF zaidi ya 5 sio kikazi wala dili la maana unategemea nini kitokee?? ( siwasapoti tabia yao pia).

Wengine hata wakisema watuseme wataishia kusema kile tulichokileta mtandaoni na sio nje na vya humu which is ni ruksa kusema watakavyo.
 
sawa bro yaishe, wala tusifike mbali sana. Lakini ukweli unaujua
Country jaribu kuwa mstaarabu kidogo kma umesikia kitu kuhusu mtu kuliko kukileta hadhari thibitisha kwaza unaposema sisi wambea sawa mm nimekubali mkuwa mbeya je wewe iko unachokifanya ni nini? Kuanza kutafuta habari za wanaume wenzio?

Mimi binafsi sipendi ugomvi mzee ila wewe inaaonekana ni mtu wa shari af huna busara ata kidogo lengo lako la kuongea hapa uonekane unajua habaro za watu sana kuliko wao na hizo habari za uongo na uzushi endeleeni kuzusha mkiona mmechoka mtakula mtasisizia

Siwezi kukupangia cha kusema juu yangu kutokana mawazo ya mtu yanatungwa na mwenyewe sema kile unachotak kusema wewe sema ila nakuhaid utokuja kuona nabishana na wewe kwa story za kutunga ata siku moja
 
Back
Top Bottom